Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,706
Na masichana above 25 hajaolewa basi ana matatizo28 -33 mwanaume aliyesingle hana mchumba?? jihadhari nae atakua na matatizo uyo
Na masichana above 25 hajaolewa basi ana matatizo28 -33 mwanaume aliyesingle hana mchumba?? jihadhari nae atakua na matatizo uyo
nina miaka 30 sina girlfriend .... kwani ni lazima!? acha imani potofu
uache kugawa gawa....inaitwa umalaya.....Wewe kinakuuma nini?
Kuanzia miaka 28-33??Kumbe mimi umri wangu unaanza kupitwa kuitwa mchumba!Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
uache kugawa gawa....inaitwa umalaya.....
Point28 -33 mwanaume aliyesingle hana mchumba?? jihadhari nae atakua na matatizo uyo
Hapa JF wanao/wanaolewa na elimu au umri huku mtaani huwezi ukamtongoza bint siku ya kwanza anaanza kukuuliza elimu yako,umri wako au kazi yako hivyo vingine anavijua mbele ya safariKwa nini hapa jf wanao tafuta wachumba wanaweka vigezo vya elimu sijui miaka! Hivi sisi tunapendana kwa vigezo hivyo? Nadhani mungekuwa more specific.
Bila ya hivyo ni kuchaguana kimaslahi tu.
Weka characteristics zako wazi
Ondoa kipengele cha chuo kikuuu weka kipengele cha kaz au kujishughulisha ni pm.Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
Jamani nani anakuita malaya mpenzi wangu Rubii,hawajajua ni jinsi gani ulivyo mke mwema jamani?any way waache wakutukane ila what i know we ni mwema mama,usijibizane nao hao wasije wakakuharibia sifa ya wema wako mama.@Rubii the best wife material..Mimi malaya inakusumbua nini ndugu yangu?