Mimi ni mgeni hapa JF

Naomba Kuliza pia Kwa ane elewa naitaji ushauri tatizo la kuwahi kumaliza tendo la ndoa husababishwa na nini na suluhisho lake pia tuseme round ya Kwanza unaweza kuwahi ukasema ujipange upya Kwa round ya pili lakini pia na ya pili inakua hivyo hivyo unatumia dakika moja hivyo shida inakua nini
 
Naomba Kuliza pia Kwa ane elewa naitaji ushauri tatizo la kuwahi kumaliza tendo la ndoa husababishwa na nini na suluhisho lake pia tuseme round ya Kwanza unaweza kuwahi ukasema ujipange upya Kwa round ya pili lakini pia na ya pili inakua hivyo hivyo unatumia dakika moja hivyo shida inakua nini
Hapo tatizo ni break tu zimelegea...
 
Naomba Kuliza pia Kwa ane elewa naitaji ushauri tatizo la kuwahi kumaliza tendo la ndoa husababishwa na nini na suluhisho lake pia tuseme round ya Kwanza unaweza kuwahi ukasema ujipange upya Kwa round ya pili lakini pia na ya pili inakua hivyo hivyo unatumia dakika moja hivyo shida inakua nini
Mara baada ya ndoa kufungwa, matendo yote yanayofuata ni ya ndoa, ni tendo gani hasa ulilokua unalikusudia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom