Meka Jr Tz
Member
- Oct 29, 2022
- 38
- 20
Habari wakuu Mimi ni mgeni wa hii application naweza uliza swali na nikapata ushauri?
😁😁 mzee babaTangu ulivyojiunga una miezi kadhaa mpaka sasa, uliza swali lako.
N. B. Moderator msifute huu uzi huyu ni mgeni
Hapo tatizo ni break tu zimelegea...Naomba Kuliza pia Kwa ane elewa naitaji ushauri tatizo la kuwahi kumaliza tendo la ndoa husababishwa na nini na suluhisho lake pia tuseme round ya Kwanza unaweza kuwahi ukasema ujipange upya Kwa round ya pili lakini pia na ya pili inakua hivyo hivyo unatumia dakika moja hivyo shida inakua nini
break zipi....?Hapo tatizo ni break tu zimelegea...
Kiingilio kipiUmelipa kiingilio?
Coz naomben ushauri ni nini cha kufanya ili kuepikana na tatizo hiloHapo tatizo ni break tu zimelegea...
Mimi ndio mweka hazinaKiingilio kipi
Hazina ya niniMimi ndio mweka hazina
Mara baada ya ndoa kufungwa, matendo yote yanayofuata ni ya ndoa, ni tendo gani hasa ulilokua unalikusudia?Naomba Kuliza pia Kwa ane elewa naitaji ushauri tatizo la kuwahi kumaliza tendo la ndoa husababishwa na nini na suluhisho lake pia tuseme round ya Kwanza unaweza kuwahi ukasema ujipange upya Kwa round ya pili lakini pia na ya pili inakua hivyo hivyo unatumia dakika moja hivyo shida inakua nini
Ebu tupe stori ulipoenda boarding kidato cha kwanza, form two wa kipindi hicho walikupokeaje?Hazina ya nini
Out of pointMara baada ya ndoa kufungwa, matendo yote yanayofuata ni ya ndoa, ni tendo gani hasa ulilokua unalikusudia?
Out of pointEbu tupe stori ulipoenda boarding kidato cha kwanza, form two wa kipindi hicho walikupokeaje?