balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,154
Mimi siyo mtu wa mshahara ,mimi ni mchungaji mwema.Mtu wa mshahara aonapo mbwa mwitu huwakimbia na kuwaacha kondoo wakiliwa na mbwa mwitu.
Mimi hata aje hayawani wa namna gani siwrzi kumkimbia bali nitapambana naye ili kuwalinda kondoo wangu.
Ni mchungaji gani anawakimbia mbwa mwitu kujificha wakati kondoo awachungao wakiangamia na kuraruliwa na mbwa mwitu?
Mimi hata aje hayawani wa namna gani siwrzi kumkimbia bali nitapambana naye ili kuwalinda kondoo wangu.
Ni mchungaji gani anawakimbia mbwa mwitu kujificha wakati kondoo awachungao wakiangamia na kuraruliwa na mbwa mwitu?