Mchungaji Mlelwa
Member
- Mar 6, 2013
- 18
- 8
Mi nadhani huyu ana akili sana. Sema labda kujua kuwa ana akili nako kunahitajili akili. HAPO HPJA YAKO ITAKUWA SAHIHI.
Yuko huku atakumbuka kweli?Tunasubiri miezi sita ya Mangula na walarushwa......
Lakini mleta mada naona kwenye uandishi wake amejaza kebehi za kutosha as if on earth everything is perfect except CCM and its government.
Dhana ya watanzania kujiuliza tumeifanyia nini nchi yetu ndio inakuja hapa, je, mleta mada kama haya ya wizi unayajua, umechukua hatua gani madhubuti mbali na hii ya kuja kulia lia humu JF?
Kama una vielelezo vyote vya kubaini wahusika wa matukio uliyo yaeleza, kwanini hamtaki kuviwasilisha mahala stahiki? Na sio pengine, ni polisi.
"KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, KIDUMU CHAMA TAWALA."