Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,894
- 31,682
Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .
Yangu ni hayo tu .
Yangu ni hayo tu .
Nashindwa kusema ni kwa nini ila tangu nipo mtoto mpaka leo naamini nitakuwa mtu wa mwisho kutolewa uhaiJordi Pola,
Fafanua Mkuu maana umetoa kauli yenye kufanya ubongo wa great thinkers kujiuliza, maana binadamu hatuwezi kufikiria kuzidi uwezo wetu.
Mfano kama karne ya 15 kuna mtu aliwaza ataweza kuruka kama helikopta alionekana mwendawazimu lakini karne hii ya 21 tunaona hilo linawezekana na hivyo fikra zetu zote zimo ndani ya uwezo wetu.
Hivyo kweli inawezekana ukawa binadamu wa mwisho kufa katika sayari hii ya dunia yaani utakuwa the last survivor baada ya wote kuondoka.
pore kwa kushitukaDaaah..nimeshtuka ghafla..
Hapa nilipo naomboleza msiba wa rafiki yangu na jumapili tu tulikuwa tuko pamoja then mda huu nakutana na thready kama hii..
Toka ngosha aingie madarakani watu wanawaza yasiyowazika kupunguza stress




Pore kwa kuamini hivyo uaminivyopore kwa kushituka
Pore ya nn sasa?Pore kwa kuamini hivyo uaminivyo
Umejaribu kwenda kupima malaria?Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .
Yangu ni hayo tu .
ApanaUmejaribu kwenda kupima malaria?
Fanya hivyo kwanza.Apana
poaFanya hivyo kwanza.