Kamchambe baba ako, mimi nakuadabisha ukae kama mtu anaejielewa sio kama liseng* fulani hiviKwa hiyo na wewe unadhani utachambana na wadada ushinde? Usipoteze muda wako ina maana kwenye huu Uzi wanaume wangapi wametamani kuongea wakakaa kimya?
Kimbelembele chako tuu basi tuchambane maana umechoka kukaa kimya
Kwa hyo ukaona kuandika "tu" itamaliza wino wa simu yako?
Hapana wewe bado sana mana hili jina nimelikuta mwisho mwisho.Bwana weee, watu tumeshajizeekea mnatuletea maneno yanu tutayajulia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
kwann iwe ivoo kwan kuna ulazima wa kujibizana lakini!!?Mdogo wangu basiii, usipende kutukanana na watu usiowajua dunia duara hii eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi ustaarabu naweka pembeni kwanza maana naona wanataka tu kujibizana ili wachangamke, ngoja niwachangamsheHahahaaaaaa,
Kitabu cha Mungu kinasema, (Bible)
1 Wakorintho 11: 3
"....kichwa cha mwanamke ni mwanaume,...."
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitamani kumuuliza muulize alimla?
Wewe ni mnafki na ndumilakuwili.
Mpatanishaji siku zote hapaswi kuegemea upande wowote. Comment zako unadhani sizioni? Unamsupport huku unajidai kupatanisha Man up!!!
Na wewe chukua hiyo. Mchana mwema.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Tatizo la tutoto twa siku hizi, tunajiona tupo sahihi muda wote, hata kakikosea hakatak kuambiwa
Mwisho wa siku utakasikia..
"I believe in me."
Pumbavu, mtapata tabu sana, sumbua humu JF pekee kwenye fake ID, nje kanaufyata mdomo.
Na kanajiona kwenye mapenz hakana bahati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimya kimya,
Waache tu, siku maji yakiwafika shingoni wataelimika tu, kama wasichana walio enda age sana humu JF ndio wanajielewa weng wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman msifike huko,,
Mimi niombe yaishe tu, kila mtu ana mapungufu yake.
Cha muhimu humu tupeane mitazamo chanya,
Unaweza kujielezea watu wajue la kweli ni lipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yako ni unafiki.Hahahaaaaaa,
Kitabu cha Mungu kinasema, (Bible)
1 Wakorintho 11: 3
"....kichwa cha mwanamke ni mwanaume,...."
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sijui wanazipendea nini? Mimi Mwanaume nikimuona na hizo akaanza kuniletea blah blah zake huwa hata simpi attention. Kuna hizo na zile zinawabana. Kuna huyo mmoja nilimuona kabanwa hadi katoa Wallet na simu kashika mkononi.Tuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ndani ya swaga[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamani[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]mnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
wanaume tuweni na mioyo mipana na piah tuwe na vifua, tuna haja ya kuwasitiri wanawake maana wao hizi shughuli za kuchambana ndo zimeumbwa kwa ajiri yao..
Shida yako ni unafiki.
Ukiwa unataka kuwa mpatanishi hautakiwi kubase upande mmoja.
Unafiki umefika mbali hadi unaingiza Bible kwenye upuuzi.
Mkuu mazingira niliyokulia huwenda hili jina lilikuwa halitumiki ila nimeziona sana, btw napenda mtu avae smart si kwamba napenda hizo suruale zinazoning'iniaHapana wewe bado sana mana hili jina nimelikuta mwisho mwisho.
Suruali isiofika kwenye kiyatu yani inaning`iniya
Kausha hutapungua mahala mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23] unawaza kula tuNilitamani kumuuliza muulize alimla?
Me mwenyewe hapo alinichanganya ila nikasema isiwe kesi labda sijaelewa tu ,nikapiga kimya.Eti analalamika alikatika kama elf 50 (yaani kwa mchanganuo wa Kununua simu, Lotion, na pocket money) sasa kwa mgawanyo upi, na hiyo simu ya bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapuyanga tu hakuna lolote linaloweza kunigusa apo matusi hayasidii hasa kwa mtu usomjua shots...byeWewe uliyepata malezi ya baba yamekusaidia nini zaidi ya mzee wako kukula tako anamla mama ako na bado anakula na wewe amekuachia laana unahangaika kudandia magari huku, ndiyo baba yako amekuharibu sana ndiyo maana you behave kiseng*
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu kwa utulivu wewe ulieleta hii mada rudi juu, anza kufuatilia tatizo lilianzia wapi utagundua kitu,wanaume tuweni na mioyo mipana na piah tuwe na vifua, tuna haja ya kuwasitiri wanawake maana wao hizi shughuli za kuchambana ndo zimeumbwa kwa ajiri yao..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ulikuwa unaumwa? Mimi nauliza kama yule agent wa ibilisi amesharudi kwao kuzimu