Mimi na Vanesa Mdee

Mimi na Vanesa Mdee

Yule mtoto kweli ni mzuri,,,,

kama una mwili jumba ,,utafaidi sana ,,maana ni easy to carry,,

ukishindwa kabisa,,,,uniambie nikupeleke kwa babu tanga kilindi tukamalize kabisa,,ndani ya wiki mambo saaaaaaaafi kabisa,,,,

nimeyachukulia siriaz maneno yako...usishangae kukuta ka-pm
 
Haka ka Vanessa haka...ha ha haaa sema mke wangu ni mkali ningemwomba kaushauri!
 
hapa nilikuwa najivutia kasi,na kukusanya data....next week narudi town...nikisha-renew driving lesence yangu tu,naanza kukapigia misele

na mie nilitaka nikwambie pozi la hiyo baskeli yako.lisije kutuangusha bure
 
watu kama nyinyi mnaweza kunifanya nimtongoze mke wa Obama!!!

yaani nimpende mwanamke , niache kusumbua akili namna ya kumpata eti niwaze upuuzi wa kuwa ana mtu........... huo ujinga mimi sinaga aseeeeh!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom