Mimi na Vanesa Mdee

Mimi na Vanesa Mdee

Grow up!!!!why do people crave for things they can't have...its annoying..
 
watu bana hata km wa kawaida c ndo kampenda yy??
Kalou ww nenda bana waweza bahatika ukavuta kabisa
 
ila uzuri wa mwenyewe kalou kajisemea kwa macho yake anaona binti anaheat ile mbaya so asante na we kwa kutuelezea mtazamo wako kuhusu huyo binti mpendwa wa kalou.
Kafupi mno, halafu kama kamekomaa komaa hivi. Sio kazuri kihivyo. Na sio kabaya sana.
 
Last edited by a moderator:
kalou eeehh hata mi nakuunga mkono aisee,kwa macho yangu pia huwa naona kadada ni karembo ile mbaya na pia napenda kalivyo charming,smart na mambo yake kwa ujumla,so keep on fighting for her ila angalizo fight for her if she is single ila kama ana wake let her be.
 
Last edited by a moderator:
nikusaidieje sasa ili uweze kumpata vannessa


Nikiwa kama reader wa uzi wako
 
Yule mtoto kweli ni mzuri,,,,

kama una mwili jumba ,,utafaidi sana ,,maana ni easy to carry,,

ukishindwa kabisa,,,,uniambie nikupeleke kwa babu tanga kilindi tukamalize kabisa,,ndani ya wiki mambo saaaaaaaafi kabisa,,,,
 
Back
Top Bottom