Mgunyamweusi
Member
- Dec 19, 2012
- 19
- 1
Waheshimiwa wana JamiiForums,
Hususani jukwaaa hili MMU naomba kuchukua fursa hii kuwasalimu na kuwapa pole na majukumu ya kila siku, na baada ya salamu nabisha hodi katika jukwaa hili naomba nipokelewe.
Nimekuwa nikipita na kusoma na kujifunza hili na lile sasa naomba kuwa mwanachama kamili.
Asante
Hususani jukwaaa hili MMU naomba kuchukua fursa hii kuwasalimu na kuwapa pole na majukumu ya kila siku, na baada ya salamu nabisha hodi katika jukwaa hili naomba nipokelewe.
Nimekuwa nikipita na kusoma na kujifunza hili na lile sasa naomba kuwa mwanachama kamili.
Asante