Nakuchukia sana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 524
- 1,007
Haya mambo ya kale eti ntaishi nawe mpaka kifo hamna,siewez na haya mahusiano ya siku hizi n magumu.mm nnatafuta mwanamke nimpg mimba, akinializia tuh hivi,mtoto akikuwa na mwanamke huyo namtema.nachukua mtoto huyo namlea.Natafut wa pili kwa njia hiyohiyo.