SUTE
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 270
- 207
- Thread starter
- #21
Hii nayo ni changamotohivi unahangaika nini? S umeambiwa ni swala la kawaida na hua inatokea? Kama mnataka kumtelekeza binti wa watu mwacheni kuliko kutafta sababu hazina maana mimba kufikisha huo muda ni swala la kawaida na lipo si kua ndio limeanzia kwake hakuna njia nyengine zaidi ya DNA