Mimba imefanya ashindwe kunipa unyumba, nifanyeje?

Mimba imefanya ashindwe kunipa unyumba, nifanyeje?

jinsi utavyofurahi ukisafiri mchumbako achepuke na jirani ndivyo nayeye atafurahi sahivi, maana endapo utakuwa mbali zaidi ya miezi 2 itabidi afanye hivyo kama kuvumilia ni shida.

sijui kama ndoa utaiweza wewe! hujui humi ndani kuna magonjwa matatizo n.k sasa wewe usipomvumilia nakumfariji mwenzio afarijiwe na nani?? mimba kama hiyo ikitoka bahati mbaya mchumbako atafurahi kuepuka hicho kikombe( Mungu aepushe)
 
hahaha aisee Mungu nisaidie sana mimi mwanao sio kwa wanaume hawa
 
Mwombee dua usiku na mchana ajifungue salama. Hilo ndilo la msingi
 
mambo mengine hayahitaji ushauri kabisa kutafanya yaani muda huu ulitakiwa uwe unaomba ushauri baada ya mimba ya mchumba wako kuharibika baada ya kupata mshtuko alivyogundua unamgonga demu wa nyumba ya jirani
 
Kwa hali yako unaruhusiwa kuwa na mchepuko lkn kuwa makini asigundue!Miezi minne jumla ni ngumu sana kuvumilia kwa kweli
 
sio binadm wa kawaida ww unashindwa kuwa na subira kwa jambo lenu la ndani unalianika humu jinga kabisa endelea kuzini allah atakuonysha mwisho wa safar
 
It's common to find common sense not common around common folks these days.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom