Mimba imefanya ashindwe kunipa unyumba, nifanyeje?

Mimba imefanya ashindwe kunipa unyumba, nifanyeje?

Hahahaaaaa!! Unaniogopesha mimi ambae thijaanza hayo mambo[emoji85]
Ni vizuri kujiaminisha kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka na ni kweli kwa kiasi kikubwa.
Kuliko kujipa moyo kuwa mwenza wako hachepuki,ni kujitafutia ugonjwa wa moyo siku ukigundua ana mchepuko.
Note:
Sina maana kuwa mpenzi wangu nae anachepuka,ni tahadhari tu.
 
Ni vizuri kujiaminisha kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka na ni kweli kwa kiasi kikubwa.
Kuliko kujipa moyo kuwa mwenza wako hachepuki,ni kujitafutia ugonjwa wa moyo siku ukigundua ana mchepuko.
Note:
Sina maana kuwa mpenzi wangu nae anachepuka,ni tahadhari tu.
Teh teh teeeeh!! Wangu hachepuki.
 
Trump hakukosea waafrika tunawaza kugegedana tu ndo akili zetu zilipoishia kazi kweli.
Kwahiyo, umwache mchumbako nyumbani akiwa na maumivu ili ukaenjoy na jirani guest!!!??
Hahaha ndo mipango ya kiafrika hiyo.
 
Wandugu nawasalimu

Mchumba ambae ninaishi nae ni mjamzito wa miezi karibia nane sasa anapata maumivu tukikutana kimwili, tumeacha kukutana kama miezi 2 nyuma sababu hiyo

Sasa mm Hali yangu kimwili ni mbaya muno ina maana ni hadi ajifungue akae tena miezi miwili ndipo tuanze kukutana, ukijumlisha na hiyo miezi miwili niliyokwisha kukaa Bila tendo, hivi nikiasi na kuanguka dhambini nitahesabiwa nimekosea

Maana Kuna huyu jirani yetu anapafanya kazi kwenye massage parlor sasa juzi nilimlalamikia kuwa bega linauma akadai nikodi chumba hoteli ili anichue bega litapona na ameonekana kutaka kunisaidia lile tatizo lingine pia
Ndipo nikaona nije niwahoji kuwa kama mwenzio hana uwezo wa kushiriki tendo
Inakuaje? Mungu aliweka utaratibu gani wa kumsaidia huyu mwingine
"...Ndo nyie mnaojenga nyumba bila ramani"
 
Wewe usijipange endelea kuleta swaga za kijinga humu na DIVISION 4 yako ya mwisho.
 
Wandugu nawasalimu

Mchumba ambae ninaishi nae ni mjamzito wa miezi karibia nane sasa anapata maumivu tukikutana kimwili, tumeacha kukutana kama miezi 2 nyuma sababu hiyo

Sasa mm Hali yangu kimwili ni mbaya muno ina maana ni hadi ajifungue akae tena miezi miwili ndipo tuanze kukutana, ukijumlisha na hiyo miezi miwili niliyokwisha kukaa Bila tendo, hivi nikiasi na kuanguka dhambini nitahesabiwa nimekosea

Maana Kuna huyu jirani yetu anapafanya kazi kwenye massage parlor sasa juzi nilimlalamikia kuwa bega linauma akadai nikodi chumba hoteli ili anichue bega litapona na ameonekana kutaka kunisaidia lile tatizo lingine pia
Ndipo nikaona nije niwahoji kuwa kama mwenzio hana uwezo wa kushiriki tendo
Inakuaje? Mungu aliweka utaratibu gani wa kumsaidia huyu mwingine
pole
 
Wandugu nawasalimu

Mchumba ambae ninaishi nae ni mjamzito wa miezi karibia nane sasa anapata maumivu tukikutana kimwili, tumeacha kukutana kama miezi 2 nyuma sababu hiyo

Sasa mm Hali yangu kimwili ni mbaya muno ina maana ni hadi ajifungue akae tena miezi miwili ndipo tuanze kukutana, ukijumlisha na hiyo miezi miwili niliyokwisha kukaa Bila tendo, hivi nikiasi na kuanguka dhambini nitahesabiwa nimekosea

Maana Kuna huyu jirani yetu anapafanya kazi kwenye massage parlor sasa juzi nilimlalamikia kuwa bega linauma akadai nikodi chumba hoteli ili anichue bega litapona na ameonekana kutaka kunisaidia lile tatizo lingine pia
Ndipo nikaona nije niwahoji kuwa kama mwenzio hana uwezo wa kushiriki tendo
Inakuaje? Mungu aliweka utaratibu gani wa kumsaidia huyu mwingine

Ndoa siyo uroda pekee ni pamoja na kumhudumia vingine ujue anakuletea mtoto,kuna na kipindi kama hicho. Vumilia dogo akishusha tu gearbox atakuwa mpya.
 
Nani kakudanganya?
Hakuna mwanaume asiyechepuka.
Mimi sichepuki Nifah, labda kimawazo tu! Naishia kutamani kwa macho tu! Kuchepuka kunahitaji roho Ngumu Na kujikataa nafsi.. Sasa ya Nini yote hayo??
 
Wandugu nawasalimu

Mchumba ambae ninaishi nae ni mjamzito wa miezi karibia nane sasa anapata maumivu tukikutana kimwili, tumeacha kukutana kama miezi 2 nyuma sababu hiyo

Sasa mm Hali yangu kimwili ni mbaya muno ina maana ni hadi ajifungue akae tena miezi miwili ndipo tuanze kukutana, ukijumlisha na hiyo miezi miwili niliyokwisha kukaa Bila tendo, hivi nikiasi na kuanguka dhambini nitahesabiwa nimekosea

Maana Kuna huyu jirani yetu anapafanya kazi kwenye massage parlor sasa juzi nilimlalamikia kuwa bega linauma akadai nikodi chumba hoteli ili anichue bega litapona na ameonekana kutaka kunisaidia lile tatizo lingine pia
Ndipo nikaona nije niwahoji kuwa kama mwenzio hana uwezo wa kushiriki tendo
Inakuaje? Mungu aliweka utaratibu gani wa kumsaidia huyu mwingine
Unawaza uzinzi tu mchumbA mwenyewe hujamuoa
Utaukwaa ukimwi we
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom