MwanzoMwisho
Member
- Aug 11, 2009
- 34
- 0
...iko wapi intelijensia ya ccm iliyoshindwa kubaini hatari hii mapema na kuchukua hatua za haraka kwa wananchi wa maeneo husika? Au intelijensia hii ni mahususi kwa siasa za vyama pinzani tu vinavyopinga utawala mbovu na dhalimu wa ccm kama ilivyotokea arusha?