Milipuko ya Ghafla Dar ni kwasababu ya Diwali

Milipuko ya Ghafla Dar ni kwasababu ya Diwali

yani huku uswazi tukitaka kusherekea mwaka mpya kwa aina hiyo Uwa tunapigwa biti tusipige mafataki ,inakuwaje hao wanaachiwa tu kutupa presha tena hakuna tangazo lilotolewa ili tusishangae.Pia nadhani sherehe kama hizi wangekuwa wanaenda kuzifanya nnje yaa jiji .Maana hapo muhumbili ,ipo karibu sijui hii imekaaje madokta piten hapa,
 
watanzania bhana!! sasa hizo ni fataki tu! je mwakani c ndo mtaacha masanduku ya kura yaporwe???
 
Huku maeneo ya sinza nasikia milipuko kwa mbaali kama mafataki sijui mabomu ni kitugani hiko mnaofahamu imeanza kama saa tano na robo usiku huu sijui nini hiko
 
mm nipo hapa kwa Balozi wa Finland huku Kenyata road kidogo ni nitoke nduki.
 
Niko mitaa ya buguruni huku naisikia balaa kila muda yanapasuka
 
Nimeacha bia yangu ngoja niirudie.. kumbe wahindi bana.
 
Duuu nikajua kishanuka nilitaka kuanza kutafuta pakukimbilia
 
Huku minjingu hakuna diwali,dinali wala bilali ni full miruzi ya ndege tu.
 
Jamani Wahindi wanaweza ua mtu kwa Mshituko... Ghafla nimesikia Milipuko mikubwa na kunipa khofu na nilidhani ni Mabomu ya Mabagala tena ila Nimekumbuka Ni Sikukuu ya Baniani Diwali hulipua fataki na baruti usiku...

Naomba watakao isikia watulie... ni kawaida kila Mwaka Diwali niSikukuu ya Kutimiza Mwaka kwa Kalenda ya wahindu na Baniani
Unatuomba tutulie wewe nani IGP?
 
Wakuu sio Dar na Arusha pekee hata huku Rock City yaan ukikaa vibaya unaweza kudhani yamelipikia kichwani pako unaweza toka nduki balaaa....

Dah... Inahitaji moyo, siku ya kwanza kidogo nijifiche chini ya uvungu wa pochi yangu... :becky: :becky:
 
[I[/I]
Jamani Wahindi wanaweza ua mtu kwa Mshituko... Ghafla nimesikia Milipuko mikubwa na kunipa khofu na nilidhani ni Mabomu ya Mabagala tena ila Nimekumbuka Ni Sikukuu ya Baniani Diwali hulipua fataki na baruti usiku...

Naomba watakao isikia watulie... ni kawaida kila Mwaka Diwali niSikukuu ya Kutimiza Mwaka kwa Kalenda ya wahindu na Baniani

Mie niko upanga karibu na Huu msikiti wao.kuanzia saa tano za usiku hali ilikuwa mbaya sana milipuko ilikiwa inasikika kama vile kuna mapinduzi yanafanyika.mbaya zaidi hatukuwa nataarifa kama kunawanao sherehekea hiyo milio ya mabou.kumbe wengine wakisikia milio ya mabomu furaha yao inakamilika. Sie mwaka mpya tukipiga madebe tunakamatwa.
 
Back
Top Bottom