Milioni 100 ndani ya masaa 144

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
4,226
Reaction score
3,325
Chadema wamefikisha milioni 100 katika kampeni yao ya marathon ya kutafuta milion 300 na kitu

Imewachukua siku sita tu sawa na masaa 144 kufikisha kiwango hiki pamoja na changamoto ya tuhuma za ubadhirifu zinazomkabili makamu mwenyekiti ndugu Heche

Hapa lipo funzo kwa watanzania wote kuwa hiki chama kisichukuliwe kama ni kikundi flani cha wahuni kama tulivyoaminishwa na tukaamini
Mie sio mwanachama wala mfuasi wa chama hiki lakini nikiri tu kuwa hiki chama kina watu

Wito wangu kwa serikali na chama tawala tafuteni maridhiano na chama hiki kwakuwa kimebeba watanzania mamilion kadhaa wa kadhaa kudhani kwamba inawezekana kukibinya kijifie kama ilivyokufa CUF ni kujidanganya.
 
They do not care as long as they have police and jeshi
 
Wacha washupaze shingo.
 
siku sita 100mπŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ kidumu chama cha mapinduzi!
 
Gentleman,
mbona milioni mia 3 ni kidogo mno kwenye chama cha siasa chenye wanachama mathalani laki5 tu?

kwani chadema ina wanachama wangapi hata iwe tabu kiasi hicho kukusana milioni mia 3?

yaani upendo nkone achangiwe zaidi ya milioni 15 ndani ya dakika 30 tu halafu chadema inachukua masaa 140 kuchangia million mia1, surely?

there must be something wrong within the party πŸ’
 
Chakula cha heche na mahawara zake, nyumbu endeleeni kuchanga tupate kula!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…