Sisi kwa kweli bado saana. Halafu hapo ukiendelea kumuuliza si ajabu akageuka mbogo. Yaani hata sijui tatizo ni nini!Biashara hizi...Sijui tutazijua lini. No wonder wafanyabiashara wanabaki kuwa wachaga, wakinga na wahindi...
Naamini mhitaji anaweza anaweza kunipm. Asanteni kwa ushauri nitaweka picha
Picha za milango
Picha hizo wadau
Kwa anayehitaji milango ya mninga na mkongo tuwasiliane