Milalo watu wakiwa safari

Milalo watu wakiwa safari

dudupori

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2012
Posts
1,795
Reaction score
1,920
Usingizi mtamu
 

Attachments

  • 1425630692494.jpg
    1425630692494.jpg
    68.3 KB · Views: 2,480
  • 1425630710966.jpg
    1425630710966.jpg
    59 KB · Views: 3,844
Kwa kupiga picha kama hiyo na kuiweka hapa, utakuwa Mdada au Shoga Style..... Sasa huyo Mtu alikufanya nini?

Ndugu nakuheshimu usipende kutoa lugha za kuudhi wenzio, una uhakika gani kwamba mie ndie niliepiga hizo picha, Au ina maana wote wanaolete picha humu wao ndo wamezipiga?
Uwe unajifikiria kabla ya kutukana wenzio.
 
Ndugu nakuheshimu usipende kutoa lugha za kuudhi wenzio, una uhakika gani kwamba mie ndie niliepiga hizo picha, Au ina maana wote wanaolete picha humu wao ndo wamezipiga?
Uwe unajifikiria kabla ya kutukana wenzio.

huo ni udhalilishaji...
acha kutokwa povu
 
Kwa sababu hukuuwa, usichukue maiti na kumtembeza barabarani, eti kisa wewe hukuuwa.

Ukijiheshimu, na sisi tutakuheshimu. Hata kama si wewe ulipiga, kuziweka hapa ni sawa na aliyepiga.

Kwa bahati mbaya sana kwako, huyo Mdadank ndugu yangu. Ulitegemea nichekelee?

Ndugu nakuheshimu usipende kutoa lugha za kuudhi wenzio, una uhakika gani kwamba mie ndie niliepiga hizo picha, Au ina maana wote wanaolete picha humu wao ndo wamezipiga?
Uwe unajifikiria kabla ya kutukana wenzio.
 
Kwa sababu hukuuwa, usichukue maiti na kumtembeza barabarani, eti kisa wewe hukuuwa.

Ukijiheshimu, na sisi tutakuheshimu. Hata kama si wewe ulipiga, kuziweka hapa ni sawa na aliyepiga.

Kwa bahati mbaya sana kwako, huyo Mdadank ndugu yangu. Ulitegemea nichekelee?

huo ni udhalilishaji...
acha kutokwa povu

Bora nijinyamazue yaonekana huku hii forum ina watu wake, kifupi cjaona udhalilishaji wowote, zilivyoletwa za kina Wasira na RIP Komba huku wakiwa wamesinzia bungeni mbona hakuna aliyepiga mikelele kwamba wanadhalilishwa?
Acheni ulimbukeni wa fikra
 
Back
Top Bottom