Mil. 4 Napata corola limited?

Mil. 4 Napata corola limited?

Swordfisher

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
233
Reaction score
37
Nina mil.4 kamili mtu yeyote mwenye corola limited iliyo kwenye hali nzuri hata kama ya zamani kidogo ani PM.
 
Ipo manual kwa bei hiyohiyo ni pm kama upo serious
 
Nimeshaku pm chukua namba hyo pga.kabla haijachukuliwa.
 
wewe unataka ktapeliwa. tembea na fundi unayemuani kokote ukielezwa kuna gari yeye ndo awe kiongoz wako, uspokuwa makini utajuta unanunua gari kwa ajili ya kwenda kuidump om kwako
 
Km sio fundi utabambikwa hakikisha una km 2m nyingine za matengenezo na rangi nakuombea upate maana huku juzi ilikuwepo ya 3.6m sijui km akiitengeneza ataiuza nitakuPM
 
ongeza mil.2 upate gari japo ya show room, acha ugeni huo ni ukuku kamba mguuni,

ushauri wa bure faza, nunua gari japo ya showrum, ongeza hela kiduchu iliobaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom