salama humu ndani.!
wakuu nina m10,natafuta gari,je nitapata kwenye yard.!
isiwe inakula mafuta sana..
na iwe inafaa kwa safar ya kwenda mbeya japo mara moja kwa mwezi..
natanguliza shukrani..
salama humu ndani.!
wakuu nina m10,natafuta gari,je nitapata kwenye yard.!
isiwe inakula mafuta sana..
na iwe inafaa kwa safar ya kwenda mbeya japo mara moja kwa mwezi..
natanguliza shukrani..