Napenda kuwapongeza viongozi wa CDM Mtwara Mjini kwakufanikisha mikutano mikubwa ya hadhara katika viunga vya Manispaa ya Mtwara, 15.03.2015 mkutano mkubwa sana ulifanyika katika viwanja vya Sinani kama inavyoonekana katika picha.
Mkutano huu uliwavutia sana wana-Mtwara waliojitokeza kwa wingikuhudhuria kutokana na umahiri wa wazungumzaji wa CDM kujenga hoja zinazogusajamii na kivutio kingine ni viongozi wote NCCR-Mageuzi Wilaya kuhudhuria kama sehemu yaUmoja wa katiba ya wananchi (UKAWA).
Mwenyekiti wa CDMwilaya ndugu Ibrahimu Mandoa aliwavutia sana wana-Mtwara kwa kuongelea kwaujasili suala la migogoro ya ardhi katika manispaa ya Mtwara na namna ambavyo CHADEMA kama chama kimejipangakuwatetea wananchi na kuhakikisha wanapata haki zao
CHADEMA pia ilichukua nafasi hiyo kuwashukuru wana-Mtwara wote kwa uamuzi wao sahihi na makini wakuwapatia ushindi katika kata 16 katika uchaguzi wa serikali za mitaa nakuwaomba kuendelea kuiamini CHADEMA na kuiunga mkono kuelekea kuchukua jimbo hili na pia mwenyekiti aliwajulisha wananchi uamuzi wa CHADEMA makao makuu kuamua kuhamishia Mtwara Mjini Makao makuu ya kanda ya kusini kutoka Ruvum aikiwa ni moja ya njia za kuonyesha imani kubwa waliyonayo kwa wananchi wa mikoaya Mtwara na Lindi (Southern Zone)
Leo CHADEMA wamefanya mkutano mwingine katika eneo laMikindani na habari nilizozipata hivi punde nikuwa CCM tayari wameanza kupata homa kwa kasi hii cha Chadema kwani wananchi wameitikia wito na kudhuria kwa wingi katika mikutano hii na hii inaonyesha kwamba jimbo hili litaangukia mikononi mwa UKAWA katika uchaguzi wa Octoba mwaka huu.
"PEOPLES POWER"–Pamoja tunaweza
Mkutano huu uliwavutia sana wana-Mtwara waliojitokeza kwa wingikuhudhuria kutokana na umahiri wa wazungumzaji wa CDM kujenga hoja zinazogusajamii na kivutio kingine ni viongozi wote NCCR-Mageuzi Wilaya kuhudhuria kama sehemu yaUmoja wa katiba ya wananchi (UKAWA).
Mwenyekiti wa CDMwilaya ndugu Ibrahimu Mandoa aliwavutia sana wana-Mtwara kwa kuongelea kwaujasili suala la migogoro ya ardhi katika manispaa ya Mtwara na namna ambavyo CHADEMA kama chama kimejipangakuwatetea wananchi na kuhakikisha wanapata haki zao
CHADEMA pia ilichukua nafasi hiyo kuwashukuru wana-Mtwara wote kwa uamuzi wao sahihi na makini wakuwapatia ushindi katika kata 16 katika uchaguzi wa serikali za mitaa nakuwaomba kuendelea kuiamini CHADEMA na kuiunga mkono kuelekea kuchukua jimbo hili na pia mwenyekiti aliwajulisha wananchi uamuzi wa CHADEMA makao makuu kuamua kuhamishia Mtwara Mjini Makao makuu ya kanda ya kusini kutoka Ruvum aikiwa ni moja ya njia za kuonyesha imani kubwa waliyonayo kwa wananchi wa mikoaya Mtwara na Lindi (Southern Zone)
Leo CHADEMA wamefanya mkutano mwingine katika eneo laMikindani na habari nilizozipata hivi punde nikuwa CCM tayari wameanza kupata homa kwa kasi hii cha Chadema kwani wananchi wameitikia wito na kudhuria kwa wingi katika mikutano hii na hii inaonyesha kwamba jimbo hili litaangukia mikononi mwa UKAWA katika uchaguzi wa Octoba mwaka huu.
"PEOPLES POWER"–Pamoja tunaweza