Mikumi daraja limekatika na kusombwa na maji

Mikumi daraja limekatika na kusombwa na maji

Mkuu unaweza kufanya hayo yote ukajua kiwango cha juu cha mvua eneo husika na tabia nchi lakini kuna siku moja tena kwa masaa mawili tu itanyesha mvua ambayo ni wastani wa mvua ya mwaka mzima. Daraja lutaondoka kama mliweka gogo.
Mbona madaraja waliojenga wakoloni hayajasombwa na maji mpaka walipokuja hawa wataalamu kuweka mapya?
 
Mbona madaraja waliojenga wakoloni hayajasombwa na maji mpaka walipokuja hawa wataalamu kuweka mapya?
Huko kwa wakoloni wenyewe madaraja yanasombwa na maji. Pia ujue kuna mabadiliko ya tabia nchi. Mvua anbayo ni wastani wa mwaka mzima inaweza kunyesha kwa siku tatu. Zamani kulikuwa hakuna habari hizo.
 
Back
Top Bottom