Mkuu uaminifu huanza kwenye kidogo ulichopatiwa , Sasa ukipatiwa kingi ndo utakua muaminifu, huwezi kamweMkuu Tala acha wadhulumiwe unamkopeshaje mtu elfu 20? Tena Ngoja niweke uzi huu wa Tala
Mkuu Tala ni ma zero brain sana, hata hawafanyi tathimini,mtu hajala siku mbili, ana smart phone na kitambulisho cha kura au Licence anaambiwa atapewa elfu 20 mkopo kama mtaji, sasa elfu 20 mkuu utafanya biashara gani?Mkuu uaminifu huanza kwenye kidogo ulichopatiwa , Sasa ukipatiwa kingi ndo utakua muaminifu, huwezi kamwe
Hapana watanzania hamna uaminifu, nadhani unataka kuonyesha utapeli wako ulio fanya ni sahihi, kumbe sio, dawa ya deni nikulipa tuMkuu Tala ni ma zero brain sana, hata hawafanyi tathimini,mtu hajala siku mbili, ana smart phone na kitambulisho cha kura au Licence anaambiwa atapewa elfu 20 mkopo kama mtaji, sasa elfu 20 mkuu utafanya biashara gani?
halafu maswali yao sasa utafikiri wanakupa ten millions ,we unaniuliza elfu ishirini nataka kuifanyia nini?Mkuu Tala ni ma zero brain sana, hata hawafanyi tathimini,mtu hajala siku mbili, ana smart phone na kitambulisho cha kura au Licence anaambiwa atapewa elfu 20 mkopo kama mtaji, sasa elfu 20 mkuu utafanya biashara gani?
Ni wajinga Sana hao mkuuhalafu maswali yao sasa utafikiri wanakupa ten millions ,we unaniuliza elfu ishirini nataka kuifanyia nini?
Na hiyo 12m hutaipata yote, kuna vi gharama vitaingia hapo mara sijui udeposot 100,000 mara sijui nini mwishoni unakuta ni 11m na pointMikopo ya mabenki riba ni 21% ukikopa mfano 12m kwa mwaka na nusu miezi 18 utatakiwa kurudisha 920.500 kila mwezi × miezi 18 mikopo ni shida kubwa riba zipo juu 21%!!!?????
Mtoto akililia wembe, mpe!Mbona unanishauri niende hapo watanisikiliza kunikopesha,wakati umesema mikopo kichefuchefu mkuu?