Mikopo ya mabenki Tanzania

Swet-R

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
5,613
8,042
Mikopo ya mabank ya Kitanzania haijakaa katika kumtoa mtu kwenye umasikini. Mabank karibu yote mikopo yao imekaa kiubepari tu. Kukopa bank lazima uwe na mtaji,ndio unakopeshwa juu ya mtaji wako.

Kuna vijana wengi nchini wamesoma wana uhitaji wa mitaji,mikopo kibank,ndio ilikuwa nafasi yao kuwakomboa hawa vijana kujiajiri. Kuna vijana wengi wamemaliza vyuo na wengine ambao hawajafikia huko wana mawazo mengi mazuri ya kuwakwamua na umasikini tatizo linakuwa ni mtaji tu.

1.Ona wazo kama kijana huyu ana plan ya kuanzisha mradi mkubwa wa ufugaji nguruwe,na soko lipo tayari analo hapa mpaka la nje. Kama huyu akipewa mkopo hata wa miaka mitatu tu hela ya kibank inaanza kurudi na faida yao juu. Kumbuka huyu ataajiri vijana wengi wa kawaida kuhudumia na wataalam wa mifuko pia.

2. Ona kijana huyu mwingine ana ardhi anataka kufungua shamba kubwa la matunda la maparachichi,heka kama 100 anayo hiyo ardhi,huyu akipewa mkopo wa miaka mitatu tayari anaanza kuvuna maparachichi,hela ya kibank inarudi na liba yao yote. Na huyu ujue ataajiri vijana wengine wa kawaida kukuhudumia na wataalam wa shamba pia.

3. China wamefanikiwa kueneza ajira kwa mtindo huo. Wachina wote mnaowaona wanajenga majengo,barabara,madaraja huku. Hao hawana mitaji yao. Ila yeye anakuja Tz anatafuta kazi,akipata kazi,anarudi nchini mwao,anaonyesha kazi aliyopata Tz. Kwa hiyo anaomba mkopo ili akaifanye hiyo kazi.

=MWISHO wa mabank hebu angalieni namna ya kusaidia hilo. MIMI NAHITAJI MKOPO NIKAFUNGUE SHAMBA LA MAPARACHICHI. ARDHI NINAYO NA DHAMANA NI HILO SHAMBA NA BIMA. HUMU KUNA WATAALAM WA KILA FANI NISAIDIWE HILO. MUNGU AWABARIKI SANA
 
Tatizo wabongo wengi uaminifu hakuna mfano ni kujifunza kwenye tala.
Kingine mabenk mengi ya tz ya kwa kufanya biashara na c kumsaidia mtu wa hali ya chini, Kwan ukikopeshwa lazima urudishe marejesho Kila mwezi, lakini Kua wakupe miaka mitatu Kisha ndo uanze kuresha ni ngum Sana,

Kingine pia wanafunzi wanaomaliza chuo waache kufikiria maisha mazuri hata kabla ya kumaliza chuo , maisha mazuri yanakuja kwa kupambana,
Maana humchelewi kukopeshwa ukashangaa mtu anaanza kwanza kununua gari kabla ya kuanza hata mradi wenyewe alioukopea.

Chamsingi inatakiwa watanzania tubadilike na kua waaminifu ,
Tatizo lipo hapo
 
Mikopo ya mabenki riba ni 21% ukikopa mfano 12m kwa mwaka na nusu miezi 18 utatakiwa kurudisha 920.500 kila mwezi × miezi 18 mikopo ni shida kubwa riba zipo juu 21%!!!?????
Mikopo ya mabank ya Kitanzania haijakaa katika kumtoa mtu kwenye umasikini. Mabank karibu yote mikopo yao imekaa kiubepari tu. Kukopa bank lazima uwe na mtaji,ndio unakopeshwa juu ya mtaji wako.

Kuna vijana wengi nchini wamesoma wana uhitaji wa mitaji,mikopo kibank,ndio ilikuwa nafasi yao kuwakomboa hawa vijana kujiajiri. Kuna vijana wengi wamemaliza vyuo na wengine ambao hawajafikia huko wana mawazo mengi mazuri ya kuwakwamua na umasikini tatizo linakuwa ni mtaji tu.

1.Ona wazo kama kijana huyu ana plan ya kuanzisha mradi mkubwa wa ufugaji nguruwe,na soko lipo tayari analo hapa mpaka la nje. Kama huyu akipewa mkopo hata wa miaka mitatu tu hela ya kibank inaanza kurudi na faida yao juu. Kumbuka huyu ataajiri vijana wengi wa kawaida kuhudumia na wataalam wa mifuko pia.

2. Ona kijana huyu mwingine ana ardhi anataka kufungua shamba kubwa la matunda la maparachichi,heka kama 100 anayo hiyo ardhi,huyu akipewa mkopo wa miaka mitatu tayari anaanza kuvuna maparachichi,hela ya kibank inarudi na liba yao yote. Na huyu ujue ataajiri vijana wengine wa kawaida kukuhudumia na wataalam wa shamba pia.

3. China wamefanikiwa kueneza ajira kwa mtindo huo. Wachina wote mnaowaona wanajenga majengo,barabara,madaraja huku. Hao hawana mitaji yao. Ila yeye anakuja Tz anatafuta kazi,akipata kazi,anarudi nchini mwao,anaonyesha kazi aliyopata Tz. Kwa hiyo anaomba mkopo ili akaifanye hiyo kazi.

=MWISHO wa mabank hebu angalieni namna ya kusaidia hilo. MIMI NAHITAJI MKOPO NIKAFUNGUE SHAMBA LA MAPARACHICHI. ARDHI NINAYO NA DHAMANA NI HILO SHAMBA NA BIMA. HUMU KUNA WATAALAM WA KILA FANI NISAIDIWE HILO. MUNGU AWABARIKI SANA
 
Andaa andiko zuri peleka sehemu sahihi kupata msaada. Huwezi enda benki na kusema nina ardhi then nataka kipata mkopo upewe. Anza na hati en peleka andiko lako. Lazima watu wajue andiko lako ni worth while undertaken
Asante. Nitakutafuta mkuu unisaidie kwenye uandishi huo wa namna hiyo mkuu
 
Mikopo ya mabenki riba ni 21% ukikopa mfano 12m kwa mwaka na nusu miezi 18 utatakiwa kurudisha 920.500 kila mwezi × miezi 18 mikopo ni shida kubwa riba zipo juu 21%!!!?????
Ndio hivyo,wangeona jinsi ya kusaidia kwa liba fulani ya wastani mkuu
 
Mikopo ya mabank ya Kitanzania haijakaa katika kumtoa mtu kwenye umasikini. Mabank karibu yote mikopo yao imekaa kiubepari tu. Kukopa bank lazima uwe na mtaji,ndio unakopeshwa juu ya mtaji wako.

Kuna vijana wengi nchini wamesoma wana uhitaji wa mitaji,mikopo kibank,ndio ilikuwa nafasi yao kuwakomboa hawa vijana kujiajiri. Kuna vijana wengi wamemaliza vyuo na wengine ambao hawajafikia huko wana mawazo mengi mazuri ya kuwakwamua na umasikini tatizo linakuwa ni mtaji tu.

1.Ona wazo kama kijana huyu ana plan ya kuanzisha mradi mkubwa wa ufugaji nguruwe,na soko lipo tayari analo hapa mpaka la nje. Kama huyu akipewa mkopo hata wa miaka mitatu tu hela ya kibank inaanza kurudi na faida yao juu. Kumbuka huyu ataajiri vijana wengi wa kawaida kuhudumia na wataalam wa mifuko pia.

2. Ona kijana huyu mwingine ana ardhi anataka kufungua shamba kubwa la matunda la maparachichi,heka kama 100 anayo hiyo ardhi,huyu akipewa mkopo wa miaka mitatu tayari anaanza kuvuna maparachichi,hela ya kibank inarudi na liba yao yote. Na huyu ujue ataajiri vijana wengine wa kawaida kukuhudumia na wataalam wa shamba pia.

3. China wamefanikiwa kueneza ajira kwa mtindo huo. Wachina wote mnaowaona wanajenga majengo,barabara,madaraja huku. Hao hawana mitaji yao. Ila yeye anakuja Tz anatafuta kazi,akipata kazi,anarudi nchini mwao,anaonyesha kazi aliyopata Tz. Kwa hiyo anaomba mkopo ili akaifanye hiyo kazi.

=MWISHO wa mabank hebu angalieni namna ya kusaidia hilo. MIMI NAHITAJI MKOPO NIKAFUNGUE SHAMBA LA MAPARACHICHI. ARDHI NINAYO NA DHAMANA NI HILO SHAMBA NA BIMA. HUMU KUNA WATAALAM WA KILA FANI NISAIDIWE HILO. MUNGU AWABARIKI SANA
km una biashara na zamana nicheki nikupe mkopo ambao haujikiti kwenye ribaa
 
Tatizo wabongo wengi uaminifu hakuna mfano ni kujifunza kwenye tala.
Kingine mabenk mengi ya tz ya kwa kufanya biashara na c kumsaidia mtu wa hali ya chini, Kwan ukikopeshwa lazima urudishe marejesho Kila mwezi, lakini Kua wakupe miaka mitatu Kisha ndo uanze kuresha ni ngum Sana,

Kingine pia wanafunzi wanaomaliza chuo waache kufikiria maisha mazuri hata kabla ya kumaliza chuo , maisha mazuri yanakuja kwa kupambana,
Maana humchelewi kukopeshwa ukashangaa mtu anaanza kwanza kununua gari kabla ya kuanza hata mradi wenyewe alioukopea.

Chamsingi inatakiwa watanzania tubadilike na kua waaminifu ,
Tatizo lipo hapo
Umeongea kweli mkuu. Uaminifu ndio kitu cha msingi. Lakini wapo wengi waaminifu ila wanaingizwa humo na wengine waliopo wasio waaminifu. Hivi hakuna uwezekano kuwe na utaratibu,pale mtakapotoa huo mkopo,kwa ajili ya mradi husika mnamfuatilia kweli kila wakati anaendeleza huo mradi? Mfano mnaweza mkawa mmemuidhinishia mkopo milioni 100 kuringana na ukubwa wa mradi,then mnampatia kidogo kidogo ktk hiyo 100 kuringana na kazi anayofanya kwa siku hizo? Ikiwezekana hata wafanyakazi wake mnamremit waje wachukulie mshahara wao bank husika. Ili kukwepa mtu kuchukua huo mkopo kwa mradi A,halafu akafanyia mambo ya B
 
Umeongea kweli mkuu. Uaminifu ndio kitu cha msingi. Lakini wapo wengi waaminifu ila wanaingizwa humo na wengine waliopo wasio waaminifu. Hivi hakuna uwezekano kuwe na utaratibu,pale mtakapotoa huo mkopo,kwa ajili ya mradi husika mnamfuatilia kweli kila wakati anaendeleza huo mradi? Mfano mnaweza mkawa mmemuidhinishia mkopo milioni 100 kuringana na ukubwa wa mradi,then mnampatia kidogo kidogo ktk hiyo 100 kuringana na kazi anayofanya kwa siku hizo? Ikiwezekana hata wafanyakazi wake mnamremit waje wachukulie mshahara wao bank husika. Ili kukwepa mtu kuchukua huo mkopo kwa mradi A,halafu akafanyia mambo ya B
naijua bank ambayo wanatoa mkopo kwa awamu, (mfano unajenga kiwanda, wanakupa pesa kwa awamu kulinga na mahitaji yako ili kuepusha fund diversions).

changamoto kubwa la wakopaji ni kutokuwa na maandiko ya miradi yao, mtu anakuja tu na wazo lake kichwani, then anataka apewe pesa, amini nakuambia ukiwa na hivi vitu huwez kukosa mkopo bank
  1. andiko zuri la biashara
  2. dhamana ya kueleweka (kumbuka hili suala la dhamana ni sheria ya bank kuu (BOT) ili kuzilinda benki dhidi ya wadanganyifu na wasiopenda kulipa)
kwa hao rafiki zako ambao inaonekana wanafanya kilimo hebu washauri waende benki ya kilimo (TADB) naamini wanatawasaidia tofauti na hizi commercial banks. au wanaweza kwenda TIB bank pale pia kuna dirisha la kilimo ambalo riba yake ni 5% tu.
 
naijua bank ambayo wanatoa mkopo kwa awamu, (mfano unajenga kiwanda, wanakupa pesa kwa awamu kulinga na mahitaji yako ili kuepusha fund diversions).

changamoto kubwa la wakopaji ni kutokuwa na maandiko ya miradi yao, mtu anakuja tu na wazo lake kichwani, then anataka apewe pesa, amini nakuambia ukiwa na hivi vitu huwez kukosa mkopo bank
  1. andiko zuri la biashara
  2. dhamana ya kueleweka (kumbuka hili suala la dhamana ni sheria ya bank kuu (BOT) ili kuzilinda benki dhidi ya wadanganyifu na wasiopenda kulipa)
kwa hao rafiki zako ambao inaonekana wanafanya kilimo hebu washauri waende benki ya kilimo (TADB) naamini wanatawasaidia tofauti na hizi commercial banks. au wanaweza kwenda TIB bank pale pia kuna dirisha la kilimo ambalo riba yake ni 5% tu.
Duuuh...! Asante sana kwa wazo hilo mkuu. Kwa riba hiyo itatusaidia mkuu,asante sana
 
Tatizo wabongo wengi uaminifu hakuna mfano ni kujifunza kwenye tala.
Kingine mabenk mengi ya tz ya kwa kufanya biashara na c kumsaidia mtu wa hali ya chini, Kwan ukikopeshwa lazima urudishe marejesho Kila mwezi, lakini Kua wakupe miaka mitatu Kisha ndo uanze kuresha ni ngum Sana,

Kingine pia wanafunzi wanaomaliza chuo waache kufikiria maisha mazuri hata kabla ya kumaliza chuo , maisha mazuri yanakuja kwa kupambana,
Maana humchelewi kukopeshwa ukashangaa mtu anaanza kwanza kununua gari kabla ya kuanza hata mradi wenyewe alioukopea.

Chamsingi inatakiwa watanzania tubadilike na kua waaminifu ,
Tatizo lipo hapo
Mkuu Tala acha wadhulumiwe unamkopeshaje mtu elfu 20? Tena Ngoja niweke uzi huu wa Tala
 
Back
Top Bottom