Mikopo na matatizo ya mkopaji

Eswary jnr

New Member
Nov 21, 2018
1
1
Hello naitaji ushauri mlezi wangu kapata changamoto ya afya na akashauliwa astaafu kwa hiari lakni Bado anamkopo benki ya nmb na kumaliza ni mpaka mwaka 2026 je hapo utaratibu Huwa inakuwaje wakufuatwa ili apate stahiki zake na kulipa mkopo uliobaki nafuatilia ushauri
 
Hello naitaji ushauri mlezi wangu kapata changamoto ya afya na akashauliwa astaafu kwa hiari lakni Bado anamkopo benki ya nmb na kumaliza ni mpaka mwaka 2026 je hapo utaratibu Huwa inakuwaje wakufuatwa ili apate stahiki zake na kulipa mkopo uliobaki nafuatilia ushauri
Nnavyojua mikopo ina insurance ila ngoja wazoefu waje

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Mkopo bank sio shida , huo mkopo bank itamalizana na mwajiri wake kama NI mkopo wa mshahara,
Kuhusu stahiki zingine nadhani unauliza kuhusu mafao au pensions , hiyo atapewa kama ametimiza miaka 15 au zaidi akiwa kazini kwa Sheria za Utumish wa Umma ,
Mengine watakuja kuongezea
 
Back
Top Bottom