Mikopo Kwa wanaosoma Diploma

Mikopo Kwa wanaosoma Diploma

thebackbonet

Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
19
Reaction score
1
Ndugu wanajamii forum Nina ndugu yangu amechaguliwa chuo cha afya Kilimanjaro ,kama kichwa kinavyojieleza naomba kufahamu kuhusu ufadhili wa wanafunzi wa diploma za afya..inakuaje kwa aliyepitia haya au aliyewahi kusikia kuhusu hili jambo ,naomba msaada kutoka kwenu ili aweze kusoma maana hali c nzuri upande wangu! Lakin nahitaji atimize ndoto zake
 
Tembelea mashirika binafsi na NGO'S wanasaidia ila kwa serikali moja kwa moja inahitaji verification kutoka form maalumu anayojaza mtahiniwa wa kidato cha NNE.
 
Back
Top Bottom