CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wapendwa anayejua policy ya mikopo toka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi wa medicine/dds etc ..... Anisaidie. Sina uhakika kama bado wanapewa upendeleo (100% loan/free???) kama ilivyokuwa zamani