Yaani nilitaka kuandika hivi Mkuu siongezi neno kula LIKE KUBWA SANAMtoa hoja usilete siasa kwenye elimu. Kuadmit watu wenye uwezo mdogo ni tatizo. Tuiamini mitihani yetu kwenye kutambua uwezo wa wanafunzi. Kama ni lazima kwenda chuo kikuu jitahidi upate alama stahili.
Kwa mwendo wa kuchukua alama E, hapo hapana. Rudia mtihani au tafuta kingine cha kufanya.
Kweli ndugu final exam sio kipimo toshaaa Bali hzo course work ndio kipimo kikubwa cha uwelewa kwa mwanafunziiAtaingiliaje kati wakati yeye ndiye katoa maelekezo hayo? Natamani nifahamu Rais wetu ufaulu wake wa kidato cha 6 ulikuwaje. Pia me siamini GPA kubwa wana uwezo kichwani au uwezo wa kufanya kazi. unaweza kuwa na uwezo kichwani lkn ukasindwa kujiandaa vizuri au mtihani ukaji sehemu ambayo hukusoma. ndiyo maana nchi zilizoendelea course work ina marks nyingi zaidi ya 60% final exams ndiyo 20%-30%.
Hapana ndugu. This is too theoretical. Tupambane waboreshe elimu na si kupambana kupeleka mbele watu wasio na vigezo. Tujadili hata kwa kuanzisha asasi za kuwasaidia watoto wa masikini kupata elimu bora.Mkuu...
Lengo la kuweka masharti ni kubana matumiz kwa kupunguza namba ya wa nufaika wa bodi ya mikopo...hivi fikiria changamoto za shule za serikali hazina walim.vifaa na miundo mbinu..matokeo yake maskini watabaki nyuma kwa kuwa wao ndo wanaenda kusoma shule za gvt..
MIMI NIMEMALIZA UDSM MWAKA JUZI CIVIL ENGINEERING NIKIWA NA EED NA SIKUA PEKEYANGU VIP HAPO MKUUAcheni ushabiki usio na maana kwani inafahamika miaka yote kuwa chuo kikuu ni pass 2 kwa kiwango cha D sasa hii ya maneno yenu ya kuzusha inatoka wapi?
Tuwe tunaandika vitu vyenye maana sio mambo kama haya.
WEWE KWEL UJITAMBUIUsitengeneze vigezo au sababu. Huyo mwenye A moja unataka akafanye nini chuo? Yaani asome nini. Bachelor in Mathematics??? Lets be serious.
Hatutaki bora liende. Tutengeneze heshima. Elimu yetu ni mbovu. Ingekuwa ruksa tungeweka script ya mwanachuo kisha tujiulize tunatengeneza nini. Kama suala ni A ya physics basi tuachane na combinations tufundishe somo moja A-level.WEWE KWEL UJITAMBUI
HIYO "A" YAKE YA PHYSICS INGEFAA KUTUMIKA KWA KUMWANDAA KUWA MWALIMU WA SOMO HILO
KWAN NI VIGUMU MWENYE WALAU DDD AENDE UWALIMU KWA RESEARCH YANYE SAMPLE TANO NILIYOFANYA KWAN HUFANYA UWALIMU KAMA ALTERNATIVE WAY MARANYING HUKIMBILIA ENGINEERING
Kama nchi ilifikia hali hii, lazima turekebishe. Kama hilo ni jina lako ninakufaham na ninakushauri sifa za EED zifanye siri yakoMIMI NIMEMALIZA UDSM MWAKA JUZI CIVIL ENGINEERING NIKIWA NA EED NA SIKUA PEKEYANGU VIP HAPO MKUU
NO RESEARCH NO SPEAKING
Mkuu..Hapana ndugu. This is too theoretical. Tupambane waboreshe elimu na si kupambana kupeleka mbele watu wasio na vigezo. Tujadili hata kwa kuanzisha asasi za kuwasaidia watoto wa masikini kupata elimu bora.
Hujitambui na uelewi unachoongea, endelea kufikiri EE ni qualifications za kuingia chuo, utasubiri sanaNa wewe nae usitie kinyaa humu! Uandishi wa CV sio kipimo cha competency ya mtu wala intelligency ya mtu,elewa tu nacho kuzungumza hapa we ukoje? Uandishi wa CV nzuri ni ufundi tu na ndio maana hua zinatofautiana. Unaweza kwenda hata stationary na PhD yako ukamkuta form four failure akakuandalia CV nzuri kuliko unayoandaa wewe.
Kaka hapo umesema kweli, mimi nafundisha kwenye chuo cha habari, kuna wandishi wengi ambao wamefanya kazi za uandishi kwa miaka walibahatika kusoma short kozi ya miezi 3 wakaingia kazini, leo hii ndo wandishi mahili na maripota wa tv, kikwazo kinakuja pale wanapotaka kujiendeleza, tunaambiwa hatuwezi kuwafundisha hao kwa sababu hawana vigezo!Binafsi nililisema jambo hili mapema nikaonekana kama mnafki anayetetea ujinga, Nia ya serikali haikua kuboresha elimu kwa kupandisha madaraja ya ufaulu. Lengo lilikua kubana pesa na hiyo ndio sababu kuu ya kufanya hivyo,Wangekua na nia hiyo wangefanya maandalizi kwa angalau miaka 3 kuboresha miundombinu na kuwaanda vizuri wanafunzi.
Haiwezekani huyu mhitimu mwenye diploma ya Civil engineering mwenye GPA ya 3.0 amekaa barabarani miaka 7 na uzoefu wa kutosha, sasa anataka kusoma elimu ya juu wewe unamwambia hana vigezo! huo ni uonevu wa hali ya juu.
Kumbe siku hizi kupata D mbili ni deal?Arts hakuna mikopo.
Hatutaki bora liende. Tutengeneze heshima. Elimu yetu ni mbovu. Ingekuwa ruksa tungeweka script ya mwanachuo kisha tujiulize tunatengeneza nini. Kama suala ni A ya physics basi tuachane na combinations tufundishe somo moja A-level.
Kumbe siku hizi kupata D mbili ni deal?