Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 4,817
- 6,443
Mm nafikiri lengo kubwa la hili ni kupata walimu wengi wa sayansi, kubana matumizi sbb watakao enda chuo watakuwa wachache na mikopo itajitosheleza.Hatuna pesa za kusomesha,pesa ni kwa ajili ya Uwanja wa ndege Chato.
Waliosoma diploma na wana GPA ya chini ya 3.5 ni kuwabana wasije wakajiendeleza, waendelee kufanya kazi sbb kuna wengine hasa wale upande wa elimu wanaenda kusomea faculty nyingine.