Wazee wa Mbalamaziwa,Kinegembasi hadi Idofi.Ngoja namm niwasubilie wa Malangali........
Umenikumbusha mbali sana mkuu, zile nyama za mbalamaziwa enzi hizo wakati tunasubilia pick up ijae,pale lazima mbwa nilikula Aisee maana hazielewekiWazee wa Mbalamaziwa,Kinegembasi hadi Idofi.
Dah!Furaha sana.Ila maharage ya Kinegembasi magumu balaa.Kuiva hadi uyapike kwa makaa ya mawe kutoka Liganga.Nitafurahi sana yakipikwa kwenye msiba wa jiwe!Umenikumbusha mbali sana mkuu, zile nyama za mbalamaziwa enzi hizo wakati tunasubilia pick up ijae,pale lazima mbwa nilikula Aisee maana hazieleweki
Duuh aisee mkuuDah!Furaha sana.Ila maharage ya Kinegembasi magumu balaa.Kuiva hadi uyapike kwa makaa ya mawe kutoka Liganga.Nitafurahi sana yakipikwa kwenye msiba wa jiwe!
Unashangaa mawazo yangu mkuu?70%/ ya JF wanatamani kuhudhuria msiba huo.HahahahahahaaaaaaaaDuuh aisee mkuu
😁😁 😁😁ukimwombea sana mtu afe huwa hawafi mkuuUnashangaa mawazo yangu mkuu?70%/ ya JF wanatamani kuhudhuria msiba huo.Hahahahahahaaaaaaaa
Mimi simuombei.Nataka.Nimeona malaika wamekuwa wapweke mnoo.Kiongozi wao hajawafuata.Hahahahahaaa😁😁 😁😁ukimwombea sana mtu afe huwa hawafi mkuu
Weweeeee acha uongo banaa mbona unatunga habari? unasema 70%????. wakati ukweli ni97%Unashangaa mawazo yangu mkuu?70%/ ya JF wanatamani kuhudhuria msiba huo.Hahahahahahaaaaaaaa
Hahahahaaaaa!Dah!Ndiyo amechokwa hivyo?Weweeeee acha uongo banaa mbona unatunga habari? unasema 70%????. wakati ukweli ni97%
Mambo ya Meal Card. Mzee ShedKwa waliosoma Mazengo Sekondari mnaikumbuka
hiyo!!!!