mikojo yangu mpezi!?

mikojo yangu mpezi!?

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,610
Reaction score
2,255
Habari wakuu? Ugumu wa maisha na kukosekana. kwa uvumilivu kwa wasichana ni miongoni mwasababu kwa sisi wavulana tusiokuwa na uhakika wa kipato kuhisi kushidwa kuwahudumia wapenzi wetu, kwa bahati mbaya wapenzi wetu nao huitumia hali mbaya ya kiuchumi kwetu kuwa sababu ya kutuacha na kutafuta wapenzi wengine wenye nacho, nikifikiria mema niliyomfanyia roho inaniuma kwelikweli, nakwakua bado nampenda, ndio namwambia "nenda utanikumbuka" bila aibu,bila ya kufikiria ananijibu, sina mtoto,sina mimba yako nikukumbuke kwa lipi? kwa bahati nzuri nakumbuka changu nilichomuachia, nami namjibu kwa kumuuliza,"Mikojo yangu mpenzi!?
 
We lala tu jombaa ndio ushaachika hivyo
 
Tafuta ela acha upimbimbi we,mapenzi ya huruma yalikua ya wazazi wetu zamani saivi hueleweki unaachwa tu isitoshe vyanzo vya kupatia hela saivi ni vingi kuna biko,3mzuka,betting,ile ela itume humu,n.k
 
Back
Top Bottom