Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,187
Ame-hint Pinda leo wakati akihitimisha bajeti yake. Mmoja utaitwa Njoluma, utahusisha wilaya za Njombe, Ludewa na Makete. Mwingine ni Simiu utakaogawanywa kutoka Shinyanga na mkoa wa Geita.
Pia kuna mipango ya kuanzisha wilaya mpya kama 20 hivi.
mkuu naomba hint namna alivyojibu hoja za Dr. Slaa.
kati ya mambo yote ya ajabu sielewi kwanini Pwani haigawanywi ili kuongeza eneo la mkoa wa Dar!!! it makes absolutely NO SENSE!!!!!
Ame-hint Pinda leo wakati akihitimisha bajeti yake. Mmoja utaitwa Njoluma, utahusisha wilaya za Njombe, Ludewa na Makete. Mwingine ni Simiu utakaogawanywa kutoka Shinyanga na mkoa wa Geita.
Pia kuna mipango ya kuanzisha wilaya mpya kama 20 hivi.
Mwanakijiji, hata Moro unastahili kugawanywa, ni mkubwa ajabu na administration ayke ni ngumu sana. Just imagine, kwa kaskazini unapakana na mikoa inayopakana na nchi jirani na kwa kusini unapakana na mikoa inayopakana na nchi jirani pia.
Mwanakijiji, hata Moro unastahili kugawanywa, ni mkubwa ajabu na administration ayke ni ngumu sana. Just imagine, kwa kaskazini unapakana na mikoa inayopakana na nchi jirani na kwa kusini unapakana na mikoa inayopakana na nchi jirani pia.
mkuu hapo ndipo panaponitatiza mimi... we have politicized even our graveyards!!!Hii nchi kila kitu ni siasa tu.....tuna siasa ni kilimo (azimio), sijui siasa ni kazi na naona mikoa na wilaya hadi tarafa ni siasa tu
Faida ya kuwa na mikoa mingi ni nini? Najua Australia kuna majimbo saba tu ukiondoa lile la makao makuu, ambalo ni mji mdogo tu, lakini wana maendeleo ya juu sana kuliko sisi. Je wingi wa mikoa unatuisadia nini zaidi ya kuongeza ukubwa wa serikali na hivyo kuongeza gharama za uendeshaji na probability ya wizi wa raslimali za umma?
Badala ya kuongeza mikoa na wilaya, serikali inatakiwa kuboresha usafiri kutoka vijijini hadi makao makuu ya mikoa na wilaya, na kuongeza ufanisi maosifisbni kusiwe na kupteza muda wqa umma.
Niliwahi kwenda ofisi fulani wizara ya elimu ya juu (wakati huo) hapo Dar majira ya saa nne asubuhi nikamkuta afisa (mama mmoja) anaonega kwenye simu na rafiki yake kuhusu kitchen party hadi majira ya saa sita. Nilipomweleza shida zangu akasema alikuwa na njaa hivyo kuniambia nirudi baada ya lunch. Sikwenda popote nikaendeklea kumsubuiri hadi saa nane, na kupata huduma yangu karibu saa tisa yaani zaidi ya saa tano kupata sahihi kwenye makaratasi yangu. Upuuzi wa namna hiyo ndio unaotakiwa kushughuliwa na serikali mara moja kjuliko kuongeza ukiritimba