Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

nizakale

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2019
Posts
4,033
Reaction score
2,945
Ifuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania

1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625

Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
 
Ni kipi kinasababisha morogoro isiwe jiji??

Mbona tanga imekuwa jiji kitambo Sana! au sababu hakuna barabara kama za tanga mijini?

Na mbeya nayooo!!
Ila unachotakiwa kujua, Siyo miji yenye watu wengi, bali mikoa yenye watu wengi.
Mkoa maana yake, wanaishi eneo lote la utawala wa mkoa.
 
Ifuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania

1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625

Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
Sis watu wa Mkoa wa kitalii

Tunazaa kitalamu

Hatuzai tuuu ilimradii

Two kids per family, or three

Sasa ndugu zangu akina ngosha na Watani zetu wagogo na nyumba Zak kama chanja la kuchechulia mahindra na wengine wanazaa kama kuku.

Huku kwetu mkoa wa Kitaliii hapanaaaaaaaaaaaaaaa

Arusha safiiii
 
Back
Top Bottom