U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,063 10,703 Mar 25, 2011 #1 Wanajamvi naomba nijuzwe kuhusu ile mikoa mipya 3 itaanza kuoperate lini kama ambavyo watawala waliamua kutuingezea zigo la uendeshaji.Maana hii iliyopo naona kama ni mzigo pia. Mwenye taarifa tafadhali. Nawasilisha..
Wanajamvi naomba nijuzwe kuhusu ile mikoa mipya 3 itaanza kuoperate lini kama ambavyo watawala waliamua kutuingezea zigo la uendeshaji.Maana hii iliyopo naona kama ni mzigo pia. Mwenye taarifa tafadhali. Nawasilisha..