Mikoa inayokula ndizi iko juu

Mikoa inayokula ndizi iko juu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,270
Reaction score
829,295
Hata upstairs wako vizuri sana
Ndio hivyo...!!!
 
DSM ndio mambo yote,lakini walaji ndizi si wengi.wengi ni ubwabwa na sembe.Hakuna udhibitisho wowote wa kisayansi kwamba uwezo wa kiakili unategemea vyakula unavyokula.Ingekuwa hivyo hiyo mikoa kusingekuwa na division 0
 
bakhresa, manji, rostam aziz, dewji,.... hawa wanatoka mkoa gani unaokula ndizi?
 
Ustawi wa ndizi uko related na certain weather ambayo missionaries waliipenda hivyo wakajenga mashule na wakapata fursa za kusoma mapema na huduma zingine. scientifically proteins ndo inajenga brain. so to say wala samaki, dagaa, na nyama/ maharage wangekuwa juu zaidi. hivyo si kweli kuwa wako hivyo kwa sababu ya Ndizi, it is historical.
 
Back
Top Bottom