Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,981
Mimi nacheka tu maana alichofanya nikimpa mkeka wangu ataona aibu.
Mimi nacheka tu maana alichofanya nikimpa mkeka wangu ataona aibu.
Kuna mkeka wa siku 6 nimempa kona 8 nataka afungwe tu ili apate hasira ya kushambulia ili kona zitoke.Yaani hahahahahaha DKK ya kwanza.... Wale wa ten min draw
Totonamu anaanza kuambarutiwa.
Niliwapa under 1.5 first half kwa hali hii ngoja nilale tu naona huu usiku sio mzuri ngoja nimuachie tu void atandaze green zake.
Kuna mkeka wa siku 6 nimempa kona 8 nataka afungwe tu ili apate hasira ya kushambulia ili kona zitoke.
Liverpool uck mwema
#Nalia huku nimelala
Siku ya arsenal alininyima hela leo tena anakula ban kabisaaHiyo team imekula ban ya maisha
Nimefurahi kafungwa ili mapepo yampande na sasa anatoa kona kama mvua.
niliwaambia lakin kama mlikuwa viburi mtabaki na viburi vyenuirani wale mnao bet live
liverpool hatoi GG mtaliwa
Hahahaaa niliandaa mkeka wa timu tatu tu nataka kusubmit roho ikasita nika cancelNiliwapa under 1.5 first half kwa hali hii ngoja nilale tu naona huu usiku sio mzuri ngoja nimuachie tu void atandaze green zake.
NimekuelewaWeka pesaView attachment 924033
uefa kama kombe la dunia tu yan timu za watoto uefa nimepiga lak na nusu nimepigwa lak liver huyo had sasa tot nae ndo huyu anasepa na laki jana metz kaenda na na 80k mm ntakuwa nasubir zangu jmosi na jpili tu kama mwendo huu timu hazielewek
uefa kama kombe la dunia tu yan timu za watoto uefa nimepiga lak na nusu nimepigwa lak liver huyo had sasa tot nae ndo huyu anasepa na laki jana metz kaenda na na 80k mm ntakuwa nasubir zangu jmosi na jpili tu kama mwendo huu timu hazielewek
salute mkuu.BET WON
Tamaa imekuponza mkuu.. Nilishajiwekea utaratibu wangu.. nikifikisha hesabu ya siku huwa nafunga ofisi. Zamani nilikuwa nakula asubuhi, naliwa jioni.. nikaona ni ujinga.
Hongera sana, hii kitu niliona inawezekana kwa rekodi yao lkn nikiamini zaidi LiverpoolBET WON