Hilo gazette linaandikwa baada ya kuliwa😄

kupoza machungu
🤣🤣🤣🤣
Mdau hata nikiliwa bado pia nakula
Sibeti kama Chakula kila siku
Kukusaidia tu hii nilipost Jana humu na ilitick na wenye kujielewa walifuata na wengine they edited it.

We umri huo kurupukia tu KAMARI kiboya,then Pambana na Hali Yako na post zako, nyingine pita tu kama huoni,kwani umelazimishwa ?

Trace it on my poats
Screenshot_20240311-205558.png
 
Al Nasr again
Amepata Goal Moja kwa yule Winger wao Ghareeb ila Mechi ngum,maana hawa Waarabu wa Emirates Tangu Mechi ya mwanzo walikiwasha.

Live Score Al Nassr anaweza kupata over 1.5 maana wanashambulia mnooo,unaweza pia kuweka Cards, second Half Cards zitakuwa nyingi mnoo maana Al Nassr at force more goals na hawa wapo so defensive
 
kabla hujaanza kubetia hela ya kanji lazima uanze kubetia hela yako mwenyewe na hapo ndio huwa pagumu!
Kama ukiweka sh 10000 ikakuwezesha kubetia mikeka ya elfu moja moja jumla ya mikeka 40 ndipo ukapoteza mtaji hapo unskuwa upo kwenye standard bora ya uchezaji ...mimi nina miezi 4 sijaweka pesa na nanunua vocha kwa pesa ya kamari ... kinacho tuponza ni tamaa inayo sababisha mpangilio mbovu wa kubeti bila ya kulinda mitaji au kukuza mitaji
Kama hapa bado na angaika kukuza mtaji
mdogo mdogo
Screenshot_20240312-022255_SportyBet.jpg
 
Back
Top Bottom