Mtoto wa kiume hawezi kubakwa
ana lawitiwa....badirisha heading
yako.
Is it fact or opinion?Anabakwa!
Kulawitiwa ni kuingiliwa kinyume na Maumbile bila ya kujali Mhusika Kama karidhia au laa
Kubakwa ni kufanywa/kufanya bila ya ridhaa
Is it fact or opinion?
acha fikra mgando..kwani mwanaume hawezi kubakwa na mwanamke.. Tofautisha kubakwa na kulawitiwa..Kwahiyo kushinda kote kule kumbe alikuwa hana marinda
Kuingiliwa kinyume na maumbile inaeleweka.Anabakwa!
Kulawitiwa ni kuingiliwa kinyume na Maumbile bila ya kujali Mhusika Kama karidhia au laa
Kubakwa ni kufanywa/kufanya bila ya ridhaa
Kuingiliwa kinyume na maumbile inaeleweka
Kubakwa ni lazima mbakwaji awe na jinsia ya kike
Kaka kiswahili kigumu sana!!?
Kwenye usahihi wa Lugha ya kiswahili,ngoja nimuite FaizaFoxy hebu kuja pande hizi utusaidie kwa kiswahili fasaha.Hiyo uliyosema kubakwa ni lazima awe na jinsia ya Kike ni Kanuni ya Kisheria sio ya Kijamii!
Kijamii hata Mwanaume anabakwa, kidini hata Nabii Yusuph alinusurika Kubakwa na Mke wa Mfalme
Ngoja nikupe Mfano mmoja!
Mwanaume anaelawitiwa kwa hiyari yake na anaelawitiwa kwa nguvu bila ya ridhaa yake tunatofautishaje kwny ku report?
Wote wanakuwa wamelawitiwa lakin mmoja anakuwa kabakwa ( kalawitiwa kinguvu)
Mwenyewe Kiswahili kinamchapa, labda aje aimbe kaswidaKwenye usahihi wa Lugha ya kiswahili,ngoja nimuite FaizaFoxy hebu kuja pande hizi utusaidie kwa kiswahili fasaha.