Wakuu naomba kujua sheria za uwekezaji wa elimu kutoka nje inasemaje kuhusu wafanyakazi wa nje wanatakiwa kuwa wangapi
Hapa nalenga mtu amekuja kutoka china kufungua chuo kikuu hapa nchini je malecturer wa china hawatakiwi kuzidi wangapi?
Wakuu naomba kujua sheria za uwekezaji wa elimu kutoka nje inasemaje kuhusu wafanyakazi wa nje wanatakiwa kuwa wangapi
Hapa nalenga mtu amekuja kutoka china kufungua chuo kikuu hapa nchini je malecturer wa china hawatakiwi kuzidi wangapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.