tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
A sack of charcoal in Dar es Salaam cost Tzs 70,000, while a bottle of cooking Gas weighing 15 kg is about 45,000 to 50,000 shillings. Tatizo ni nini hasa? Elimu au
Gunia la mkaa linauzwa shillingi 70,000/= za kitanzania katika Jiji la Dar es salaam na mtungi mmoja wa Gas wa 15kg unauzwa shillingi 45,000/= mpaka 50,000/=
Tupange mikakati gani ya kupunguza matumizi ya mkaa na kuongeza matumizi ya Gas ambayo tunayo ya kutosha ili kupunguza uharibifu wa mazingira kwa vizazi vyetu na vijavyo?