Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
JIJI/MANISPAA nyingi zina miji midogo midogo na inakua sana ila cha kusikitisha hii miji inakua tu bila mpangilio wowote badala yake hii miji inatakiwa ijengwe vizuri na kuwa mizuri bado ipo ipo tu sio mizuri hata-
Maboresho kwenye hiyo miji ni kama ifuatayo;-
NIKIWA RAIS moja ya mambo ntakayofanya ni kuboresha miji midogo ndani ya MANISPAA/JIJI
mfano kwa dar es salaam miji ndani ya jiji ifuatayo itaboreshwa na kuwa ya kisasa ni kama;-
Sio sawa kama nchi tumeshindwa ifanya hii miji ndani ya JIJI kuwa mizuri faida zake
www.jamiiforums.com
Maboresho kwenye hiyo miji ni kama ifuatayo;-
- Kutajengwa magorofa marefu ambayo ni skyscraper
- Kutajengwa ofisi
NIKIWA RAIS moja ya mambo ntakayofanya ni kuboresha miji midogo ndani ya MANISPAA/JIJI
mfano kwa dar es salaam miji ndani ya jiji ifuatayo itaboreshwa na kuwa ya kisasa ni kama;-
- Buguruni
- Mwenge
- Segerea
- Rangi tatu
- Gongo la mboto
- Goba centre
- Mbezi
- Tegeta
- Bunju sokoni
- Chanika
- Kibada
Sio sawa kama nchi tumeshindwa ifanya hii miji ndani ya JIJI kuwa mizuri faida zake
- Itapunguza pressure ya shughuli za kibiashara kwenye miji mikubwa
- Itafanya miji yetu ipendeze
- Itaifanya miji yetu kuwa metropolitan tofauti na ilivyo sasa
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...