Karibu huku Msumbiji nina kuku atakula mahindi yatayomwagwa chini, kila punje ya hindi huwakilisha mwaka mmoja utaokuwa na utajiri, akila mahindi 30 utakuwa umeupiga mwingi ila akila punje 1 ya mahindi tusilaumiane maana ni masharti ya utajiri.
Kuna mitaa ya kishua lakini Kuna mitaa ya kajamba nani. Hii ni tofauti na Mbweni ambako Kila mahali kumejengeka.
Alafu hii mitaa ya ununio uswahilini na kijichi uswahilini ni mitaa ya CCM na serikali za mitaa(kijichi CCM na ununuio mitaa ya ununio sirikali ya mtaa).
Dah....! Ndiyo umejenga huko au umepanga?
Samahani na-trespass lakini kuna 'picha naitafuta'.
Labda niseme hivi, si wote wenye mijengo ya thamani sehemu nzuri ni matajiri, kuna wanaopata a good catch na wakaiwekeza yote kwenye mjengo na wakaendelea na maisha yao ya kawaida. Hata wewe inaweza kukutokea kama uko focused, hakuna mtu 'fighter' ambaye hajakutana au hatakutana na mshiko so kama haijakufikia never give up.