Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,940
- 38,035
Mwanaume kamili sifa namba moja ni kujikaza , unapokuwa na hasira ama uchungu sana unatakiwa kujikaz, kadhalika furaha ama raha sana ni kujikaza! Ndio uanaume huo.ile mihemo na zile miguno ya "mmmh mamaaa" na sifa za hapa na pale vilinimaliza