Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

  1. Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera?

  2. Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje?

Mimi najitolea kusema kwa niaba ya wanawake, "wanaume tunapenda mkitoa hizo sauti zenu na mkigugumia na vile vibesi" jitahidini msitulombe kama mabubu. 



View attachment 3453022

Kwenye simulizi yangu ya mwisho ya “Utamu wa Tunda la kati” nilisahau kuzungumzia hili.
Moja ya vitu ambavyo yule kaka aliwazidi wengine ni kutoa ile sauti nzito ya kiume mambo yakinoga na kunichombeza chombeza. Moto aliokua ananipelekea tayari ulikua unanichanganya, ila ile mihemo na zile miguno ya "mmmh mamaaa" na sifa za hapa na pale vilinimaliza :uwotWater: . 




SOMO LA LEO: Sauti, vilio na miguno inanogesha tendo, siyo wanawake tu na nyie wanaume pia toeni, TUNAZIPENDA!

Ni hayo tu, Alamsiki!
Ahsante kwa mrejesho maana huwa hatujui tufanye nini tukiwa na wake zetu katikati ya mechi vitu ni vingi mnavitaka lakini unajikuta hujui ni button gani ni ya moto sana ku press kumaliza mechi
 
Ahsante kwa mrejesho maana huwa hatujui tufanye nini tukiwa na wake zetu katikati ya mechi vitu ni vingi mnavitaka lakini unajikuta hujui ni button gani ni ya moto sana ku press kumaliza mechi
Haya code ndiyo hiyo tumewafungulia, msitulombe kama mabubu, tunapenda sauti, mihemo na mtuongeleshe 😋.
 
😀😀😀dah
Sasa je mkishakua kwenye mechi vurugu zinaruhusiwa utundu mwingi sasa wapo wakinadada waoga wapole mambo ya zima taa basi sasa jamani kuzima taa ya nini tuko mubashara sambusa inavyonekana mubashara ni hisia za kufa mtu 🤗🤗🤗🤗
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom