Ongezeko la seat allowance zaid ya mara tatu ya mwanzo, inasikitisha sana. Nawaomba wanazuoni wanaopata elimu for liberation to think about this. Wabunge wanadai kuongezeka kwa gharama ya maisha, je wanafunzi ela watapata wapi kwa mfumuko huu wa bei? Je raia wakawaida wanaesabiwa wapi?. Zito kabwe aliisha wahi kuwaomba wabunge wenzake kuwa viongozi na si waitaji wa ela. Kuna tatizo la umeme wao hawaoni, walimu wana nyimwa madai yao, waitimu wa vyuo hawapewi ajira, sasa je wenyewe ela wanapata wapi ya kujiongezea. Note that, about billion kumi nane na milioni tisini zinalipwa kwa wabunge wote ndani ya siku thelathini(Tshs1890000000/=). Hizo pesa zidisha mara siku wanazo enda bungeni kwa mwaka, hapo mishahala bado, na marurupu mengine. Watanzania tufumbue macho ni hali ya hatari.