Migodi yetu inanadiwa na kuuzwa juu kwa juu, sisi tunamjadili Makonda!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Huyu jamaa amekuwa tajiri kwa kutumia Migodi yetu lkn si ajabu wala hajawahi kukanyaga ardhi ya Tanzania!
Migodi inauzwa juu kwa juu huko kwa Wazungu wanakuwa Mabilionea, sisi tumekaa kumjadili Makonda, tena cha ajabu zaidi tunapoteza muda kumjadili ambaye hatuwezi kumfanya chochote kile zaidi ya maneno!

Haya ndo mambo yaliyopaswa kusimamisha Bunge, na siyo Wema Sepetu, Mama yake au sijui Steve Nyerere!

How a Tiny Gold Fund and TV Treasure Hunter Got a 146% Return
 
Huyu jamaa amekuwa tajiri kwa kutumia migodi yetu lkn si ajabu wala hajawahi kukanyaga ardhi ya Tanzania! Migodi inauzwa juu kwa juu huko kwa Wazungu wanakuwa Mabilionea, sisi tumekaa kumjadili Makonda!

Haya ndo mambo yaliyopaswa kusimamisha Bunge, na siyo Wema Sepetu, Mama yake au sijui Seve Nyerere!

How a Tiny Gold Fund and TV Treasure Hunter Got a 146% Return
Nyie c ndio wenye serikali unataka tujadili nini wakati hamtaki kukosoĺewa mkisemwa mnafura utafikiri cobra. Jadili mbuga za wanyama, migodi na rais wako. Waache wapinzani wajiandae. Tukiamua kujadili mambo kitaifa kama watanzania mapovu yanawatoka kwa kutetea
 
tatizo ni misukule ya CHADEMA imekomaa na cheti cha Makonda huku Mbowe anatumbua ruzuku ya chama na akina Wema Sepetu
 
Huyu jamaa amekuwa tajiri kwa kutumia Migodi yetu lkn si ajabu wala hajawahi kukanyaga ardhi ya Tanzania!
Migodi inauzwa juu kwa juu huko kwa Wazungu wanakuwa Mabilionea, sisi tumekaa kumjadili Makonda!

Haya ndo mambo yaliyopaswa kusimamisha Bunge, na siyo Wema Sepetu, Mama yake au sijui Steve Nyerere!

How a Tiny Gold Fund and TV Treasure Hunter Got a 146% Return

Kwani wapokea kodi ni Chadema??Wezi wa Raslimali za Taifa Chama Cha Masogange
 
Uzeni mbaka ikulu chama chenu si mtatufanya watanzania mizukule yenu,Hata tukijadili hamna utekelezaji wowote katika serikari hii iliyojaha chuki na visasi
 
Huyu jamaa amekuwa tajiri kwa kutumia Migodi yetu lkn si ajabu wala hajawahi kukanyaga ardhi ya Tanzania!
Migodi inauzwa juu kwa juu huko kwa Wazungu wanakuwa Mabilionea, sisi tumekaa kumjadili Makonda!

Haya ndo mambo yaliyopaswa kusimamisha Bunge, na siyo Wema Sepetu, Mama yake au sijui Steve Nyerere!

How a Tiny Gold Fund and TV Treasure Hunter Got a 146% Return
Na akili zenu za gramu mbili....sasa unatwambia sisi au unaiambia serikali yako....lumumba acheni kuchezea hili Taifa.
 
Huyu jamaa amekuwa tajiri kwa kutumia Migodi yetu lkn si ajabu wala hajawahi kukanyaga ardhi ya Tanzania!
Migodi inauzwa juu kwa juu huko kwa Wazungu wanakuwa Mabilionea, sisi tumekaa kumjadili Makonda!

Haya ndo mambo yaliyopaswa kusimamisha Bunge, na siyo Wema Sepetu, Mama yake au sijui Steve Nyerere!

How a Tiny Gold Fund and TV Treasure Hunter Got a 146% Return
Ccm bhana.... tukijadili njaa ooh wachochezi..... tukijadili uchumi oooh wapiga dili..... tukijadili katiba kusiginwa oooh sijui manyumbu wa ufipa khaaaaaa leo hii ndo mnasema tujadili hoja wakati tukisema mnaona tunapinga kila kitu yaani kwa staili hii ya wananchi naona uchumi wa kati utabaki kwenye makartasi tu
 
Ina maana na hao wenye wajibu wa kuhakikisha mali za umma haziuzwi juu kwa juu nao hawashughuli tena na wamehamia kwenye kumjadili Makonda?!

Ninavyofahamu nchi hii watu tumewapa dhamana viongozi na watendaji mbalimbali ili wahakikishe mambo kama hayo hayatokei!!
 
Mnaacha kuhangaika na mambo ya msingi mnahangaika na lema na wapinzani mi nasema wacha waendelee kuiba hawajaanza leo we u nakumbuka shuka kumekucha
 
We mleta uzi ni boya tu, si kila siku mnagoma mnasema mikataba ni siri kati ya watawala na wawekezaji. Kuna mkataba wowote wa maana umewahi kujadiliwa bungeni? Huko bungeni kazi yao si kupelekewa tu sheria zilizotungwa tayari na wao kusema ndiooooo kisha spika anamalizia kwa kusema nadhani waliosena ndio wameshinda?
 
tatizo ni misukule ya CHADEMA imekomaa na cheti cha Makonda huku Mbowe anatumbua ruzuku ya chama na akina Wema Sepetu
Na misukule ya awamu hii inahangaika kutumia ruzuku zetu kushindana na akina lema na upinzani
 
tatizo ni misukule ya CHADEMA imekomaa na cheti cha Makonda huku Mbowe anatumbua ruzuku ya chama na akina Wema Sepetu

Acha uBashite wako wewe., kwani chadema ndio wanaMandate na nchi hii? Nendeni mkadiscuss lumumba maana hata tukiwapa ushauri huwa hamuusikilizi.
 
Back
Top Bottom