Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

ameponzwa na sisi kuwa omba omba. nafikiri nchi ilikuwa ikimtuma awapigie chapuo. dada yetu wewe upo huko tusaidie ule msaada tulio uomba ukubaliwe. UN wakaona huyu anatumia cheo chake kujinufaisha yeye na nchi yake mbona wakati ya vita ya libya hajasema neno? lakini mipaka ya nchi yake baharini anajifanya kuongea sana. tumpige chini huyu hatufai. undia zengwe ya wanataka watu wenye ushirikiano. tunashukuru kwa ufanyakazi wako ulio tukuka tunakuomba urudi kwenu haraka na wanao wanao suma huko rudi nao.
 
Kama nafasi ya kuendelea ilikuwepo halafu yeye anatemeshwa mzigo, halafu Boss wake anadai anataka team ya kazi. Napata wasiwasi kidogo. Hapo huenda mama ametunanga na tumepoteza nafasi muhimu kwa future ya bongo yetu. Tumepewa na tumeshindwa kuitumia.
 
Anawahi uchaguzi wa Ndani CCM nini?? Naanza kupata hisia za "NI ZAMU YA WANAWAKE KUONGOZA NCHI" kama ilivyokuwa zamu ya "WANAWAKE KUONGOZA BUNGE"
 
Atar?th? nafas? ya Omben? Sefue labda maana hajatangazwa mr?th? wake. Inaonekana bado Sefue anafanya kaz? na UN kwa sababu al?onekana kwenye ujumbe wa Prof. T?ba?juka UN wakat? Tanzan?a ?l?powas?l?sha omb?/and?ko la kutaka kuongezewa eneo la bahar?.

Mrithi wa Ombeni alishatangazwa juzi juzi tu hapa kati ya wale waalioapishwa juzi. Kwaa hiyo nafasi hiyo kaikosa.
 
Icon zetu nje zinarudi kwa kasi......................Majuzi tu karudi AmbassadorMulamula wa Great Lakes Region, si haba ngoja mrudishe ujuzi na maarifa mliyopata ughaibuni lakini muwasiliane na Tibaijuka jinsi anavyoshindwa ku-cop na system ya Kibongobongo
True Prof. Tibaijuka kashindwa kabisa kuperform sijui ni system mbovu au yeye hayuko fit kiuongozi na hawa wanaokuja kutoka big post sijui itakuwaje
 
Kama nafasi ya kuendelea ilikuwepo halafu yeye anatemeshwa mzigo, halafu Boss wake anadai anataka team ya kazi. Napata wasiwasi kidogo. Hapo huenda mama ametunanga na tumepoteza nafasi muhimu kwa future ya bongo yetu. Tumepewa na tumeshindwa kuitumia.

Punde tu makovu yataanikwa, wazungu walivyowazi bila kutunza siri tutayasikia mengi tu, tuvute subira.
 
Hivi kwa mtanzania wa kawaida kama mimi, nimenufaika vipi na Dr. Migiro kuwa UN? Kubaki au kuondoka kwake UN hakuna impact yoyote. Vyeo vya kupewa hivi........?
 
Sasa akimaliza mkataba wake aende wapi ?
Au ulitaka ajilipue

MOJA YA OPPORTUNITY aliyo nayo ni ku-renew mkataba,ila ameonesha hayupo tayari kwa hlo,anasubir mwanae amalize masomo,
kama ulikuwa unataka ajilipue sawa wazo lako c baya,ila Migiro nae anatajwatajwa sana kwenye ugombea urais,jambo ambalo c baya ila pia litaleta mtafaruku ndani ya ccm
 
Atarıthı nafası ya Ombenı Sefue labda maana hajatangazwa mrıthı wake. Inaonekana bado Sefue anafanya kazı na UN kwa sababu alıonekana kwenye ujumbe wa Prof. Tıbaıjuka UN wakatı Tanzanıa ılıpowasılısha ombı/andıko la kutaka kuongezewa eneo la baharı.
Atafaa sana awe balozi wetu UN na itamsaidia mwanae amalize masomo, na pale utendaji wake tutausimamia wenyewe Watanzania tunayemuelewa. Nadhani Tanzania itamfikiria katika hili mara tu baada ya kurudi huku.
 
Anawahi uchaguzi wa Ndani CCM nini?? Naanza kupata hisia za "NI ZAMU YA WANAWAKE KUONGOZA NCHI" kama ilivyokuwa zamu ya "WANAWAKE KUONGOZA BUNGE"
Uongozi katika CCM hatoweza kabisa kuhimili kasi ya vyama hapa Tanzania, labda tu ataurisha mshikamano lakini kuongoza hawezi, kasi ya mambo ya vyama yanahitaji mtu mwenye kufikiri na kufanya maamuzi magumu na baadaye mepesi mambo yakishakuwa sawa, labda kama atatumia vijana, sasa hivi kasi ya uongozi katika vyama ni ya vijana zaidi na hao wataweza kuikabili.
 
Atafaa sana awe balozi wetu UN na itamsaidia mwanae amalize masomo, na pale utendaji wake tutausimamia wenyewe Watanzania tunayemuelewa. Nadhani Tanzania itamfikiria katika hili mara tu baada ya kurudi huku.

nadhan kazi alo2mwa ameifanya,na hili la kuongeza ukubwa wa ardh 2lifanyie kaz
 
Kqshindwa kucope na speed ya BabKi moon; mkorea yule balaa mama alifanya business as usual ndio maana kaomba na kakosa tena; mama you have proved a failure maana angekuwa performer angeendela nae; lakini kaonekana mzigo maan muda mwingi yuko huku kuja kutuonyesha yuko UN. Anyway karibu but binafsi sijapenda ulivyo tuprove we cannot perform
Ugonjwa CCM ni mbaya ,mwana CCM hata umpeleke mwezini atashindwa tu,wenzetu hawataki bla bla,na kibaya zaidi Wakorea ni wapiga kazi si masihara,sasa mama kila leo yupo Dar wapi na wapi ,kaomba aendelee ,Mkorea kammwaga,halafu eti baadaye anataka awe "Rahisi" wetu
 
Atafaa sana awe balozi wetu UN na itamsaidia mwanae amalize masomo, na pale utendaji wake tutausimamia wenyewe Watanzania tunayemuelewa. Nadhani Tanzania itamfikiria katika hili mara tu baada ya kurudi huku.

Nakuunga mkono hili la ubalozi ila hilo la mtoto kumaliza shule sina uhakika nalo!
 
Karibu nyumbani mama, bila shaka hujahau jadi yetu ya posho za vikao na uchakachuaji.
 
Mbona mnaongea sana? huyu mama wala sidhani kama anarudi kuja kugombea urais, bali muda wake kule UN umekwisha na kama tulivosoma hapo juu ali apply lakini mwandishi hakujulisha kama alipata au la! lakini inavoonekana ni kuwa majibu sio mazuri. Either way, sidhani mtu akitoka kwenye post kubwa kama ile aje agombee urais wa nchi kama Tanzania, nadhani ATAJISHUSHA SANA! kitu kingine , Tanzania kwa sasa inahitaji mtu MKAKAMAVU NA MJASIRI naweza kusema (DICTATOR) ILI aje aongoze, Tanzania bila mtu kama huyo basi nadhani tutakapoelekea anajua Mungu Muumba SWT.

Karibu home mama, na kama mdau mmoja alivosema kuwa usijiingize tena katika siasa, ni bora uwe mshauri maana siasa za nchini utaishia kubaya tu bora ujipumzikie na familia yako kwa sababu naamini sana huna shida kihivyo mama yetu , dada yetu ...

A very warm wellcome Mama.
 
Back
Top Bottom