Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,886
- 2,767
Wakuu za asubuhi. Napata changamoto hapa kwa mifumo hii ya kiserikali hasa uoande wa tozo mbalimbali. Hapa nazungumzia maegesho hapa Dar. Awali palikuwa na termis. Sasa GEPG, ila naona kote huko mifumo inajichanganya tu.
Kwa anayejua usahihi wa hii mifumo aninulishe tafadhali
Kwa anayejua usahihi wa hii mifumo aninulishe tafadhali