Mifumo Haina ushirikiano

Barua ya utambulisho ya unakoishi ni muhimu sana hata mimi nilidhani ni usumbufu kumbe ni lazima mfano umepata tatizo ama umesababisha tatizo msaada utapatikana wapi
Hebu kuwa serious una kitambulisho cha mida mkuu hiyo barua ya kazi gani?..Au unaongelea ukiwa ume relocate ?
 
Sisi Bado sana, Tunaotaji Wa Africa Tunaotaji kutawariwa Tena Ili Akili Zetu zitukae sawa.
 
Barua ya utambulisho ya unakoishi ni muhimu sana hata mimi nilidhani ni usumbufu kumbe ni lazima mfano umepata tatizo ama umesababisha tatizo msaada utapatikana wapi
Kitambulisho Cha NIDA.....Akifanyiwi Update ya mtaa, au nyumba unayoishi kwa sasa.
 
Hebu kuwa serious una kitambulisho cha mida mkuu hiyo barua ya kazi gani?..Au unaongelea ukiwa ume relocate ?
Wewe ndiye hauko serious soma nilichoandika na kuelewa
You have to read between lines

Narudia taarifa ya unakoishi ni muhimu kuliko hata hicho kitambulisho cha NIDA

Swali je wewe umejaliwa makazi ya muda wote? Yaani huwezi kuhama kikazi ama kivyovyote vile

Swali je umewahi kushuhudia watu wana hama mikoa wilaya ama mitaa?

Tatizo mna kalili kila kitu
 
Ndio hoja ya mtoa hoja...
Kwanini mifumo isisomane.

Wakiingiza namba moja tu basi itupe taarifa zako zoteee.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwanini mnabadilisha makazi na mkibadilsha makazi mifumo yenu Ina hiyo option ya kujua Kama mme badilisha makazi

Hiyo mifumo yenu inaweza sasisha mlipo kwasasa na kama haiwezi kufanya hivyo kwa wakati mnataka nyie nini kifanyike

Do you have background knowledge to update technology, (changing technology)
 
[OTE="Liverpool VPN, post: 54748147, member: 607629"]
Ndio hoja ya mtoa hoja...
Kwanini mifumo isisomane.

Wakiingiza namba moja tu basi itu
Asante kwa kunielewa ndugu,
Mfumo uwe wa kueleweka Full Documents, hata ukiama mtaa documents, unapoenda zinakuitaji ku update Taarifa zako.
Pia mpaka Hospital documents zinakuepo ktk kitambulisho chako.
 
Tupate mfumo mmoja wenye namba moja mfumo huo @ namba hiyo
Itasoma NHIF, NIDA, PASSPORT, MAKAZI, TRA yaani kokote.
Ukifika ofisi x ukaingiza hiyo namba, namba hjyo isome kila kitu kuhusu wewe.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Tupate mfumo mmoja wenye namba moja mfumo huo @ namba hiyo
Itasoma NHIF, NIDA, PASSPORT, MAKAZI, TRA yaani kokote.
Ukifika ofisi x ukaingiza hiyo namba, namba hjyo isome kila kitu kuhusu wewe.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Noted with thanks
 
Hii ndo Tanzania niliomba cheti cha kuzaliwa online RITA, baada ya kujaza taarifa walizohitaji na wakajiridhisha waliniambia nikachukuwe cheti mahali nilipochagua, nimeenda hapo Kibaha kila siku wanasababu mpya, mara ya kwanza walisema nipeleke document original nilizoambatanisha wakati wa kuomba, nilivoenda na document walizohitaji, wakadai nikatoe kopi, unajiuliza hii copy ndo iliyoko mtandaon ambayo hawakutambua, imepelekwa kopi wanasema haionekani, haya nifanyeje nenda katoe kopi pale kwenye kontena, lengo uache maokoto. Nimetoa kopi pale walipotaka ikaanza njoo jumanne, ukienda njoo Alhamis, ukienda Alhamis unambiwa printer haina wino, mara printer imeenda kwenye maonyesho yaani kila siku ni upuuzi upuuzi tu. Ni sawa na kuwambia mtu eti aka certify cheti cha shule, hivi huyu mwanasheria anayepelekewa cheti dakika moja na kugonga mhuri huwa ana-certify kitu gani?
 
jamaa si nimeongelea masala ya kurelocate au ?
 
B
BOngo daslam kila kitu deal,kila kitu fursa kama sio fursa na deal
 
Anuani za makazi labd ni chache tu ambazo ziko digitalized therefore that system in your mind will not work now
it should be working, right? shouldn't it ?...Hivi ndio vitu vya kufanyia kazi masta tutarahisisha mambo mengi sana
 
Sipendi kuambiwa nikalete utambulisho WA mtendaji,hata sijui Kwa Nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…