Mifumo Haina ushirikiano

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,065
Mtu una vielelezo hivi
1. Cheti Cha kuzaliwa
2.Cheti Cha shule ya msingi
3.Cheti Cha secondary
4. Cheti Cha ufundi veta.
5.TIN number
6.Reseni ya Biashara
7.Kitambulisho Cha NIDA
8.Passport ya Tanzania

• Sasa mtu ukienda kupata Huduma ktk Hofisi za watawala wanakuambia kalete Barua ya Utambulisho wa wa Serikali ya mtaa/ Utambulisho wa mtendaji.
• Hawana uwakika kama ni mtanzania, Mifumo Haisomani na Wala Hawaziamini Documents zao.

• Kwa mtazamo wangu Hawa Hata kitambulisho chao Cha Taifa wakiamini wakati kina Taarifa zote za mtu, pia kuna ku update Taarifa za mtu. Yaani Mambo mengi Wanafanya kama tunaishi Karne 15
Hawakiamini kitambulisho chao Cha Taifa.
 
ndo maana na sisi hatuiamini hii serikali
 
• Sasa mtu ukienda kupata Huduma ktk Hofisi za watawala wanakuambia kalete Barua ya Utambulisho wa wa Serikali ya mtaa/ Utambulisho wa mtendaji.
• Hawana uwakika kama ni mtanzania, Mifumo Haisomani na Wala Hawaziamini Documents zao.
Kama hata kuandika ofisi huwezi, lazima wawe na mashaka na utanzania wako. 😆😆
 
That's the probes of living as Tanu's era
 
Sio reseni ni leseni
 
Usingalie Dosari, ndogo Tembea Uwone Nchi zingine mifumo inavyosomana,
Yaani Chumba tu ulichofikia Documents zinasomana umefika lini na unatakiwa kuondoka lini yaani sisi Watanzania tunaishi kama wanyama.
Nitembee niwone? Vitambulisho Tanzania vinapatikana kirahisi sana hata kwa wasio raia.
 
upo mfumo unaitwa napa ambao unapata barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji wa kata online
 
Barua ya utambulisho ya unakoishi ni muhimu sana hata mimi nilidhani ni usumbufu kumbe ni lazima mfano umepata tatizo ama umesababisha tatizo msaada utapatikana wapi
 
Kwanza hivyo vyote hapo ni vya nini?kwanini visiwe digitally centralized kwenye NIN
 
Barua ya utambulisho ya unakoishi ni muhimu sana hata mimi nilidhani ni usumbufu kumbe ni lazima mfano umepata tatizo ama umesababisha tatizo msaada utapatikana wapi
Mfumo unatakiwa kua na Taarifa zote za mtu Digital Elimu, unapoishi, kazi, au mfanya Biashara, una kua attached na Hospital documents
 
Mfumo unatakiwa kua na Taarifa zote za mtu Digital Elimu, unapoishi, kazi, au mfanya Biashara, una kua attached na Hospital documents
Swali fikirishi je wewe huwezi kuhama umejaliwa kuwa na makazi ya muda wote wa maisha yako

We are wired to control over our lives and we'll being but not able to control uncertainty we can only overcome uncertainty, in reality much of what lies ahead in life remains uncertain

Yasiyotarajiwa, (uncertainty)
Husababishwa na vitu vya msingi vitatu
1. Taarifa
2. Majanga
3. Binadamu

1. Kuhusu taarifa uwezo mdogo wa binadamu kutasfsiri taarifa unaweza kumsabishia changamoto hata kuto shughulikia taarifa kwa wakati

2. Kuhusu majanga yapo ya aina mbili ya Kimungu na kibinadamu
Majanga huwezi kuchomoka inatakiwa upate elimu jinsi ya kukabiliana nayo

3. Kuhusu binadamu
Binadamu anaweza kujisababishia changamoto kwasababu ya kujipendekeza, upumbavu, ujinga, ushamba, wivu, ulevi, afya ya akili, tamaa
Binadamu anaweza kuwasabishia wengine changamoto kwa bahati mbaya ama kwa makusudi
 
Mambo hayapo hivyo mdogo wangu
 
Tatizo linaanzia kwa wazee wafanya maamuzi ya kisera waliojazana Serikalini hata baada ya kustaafu.
Mbinu za miaka ya 70 ndizo zinazotumika katika karne ya 21 huku vijana wanaopaswa kuendesha nchi kisasa wakiwa nje ya mfumo licha ya kusoma na kuhitimu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…